YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Chai [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikuletee kitafunwa gani ushushie chai yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chai [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe ni wewe uliungama siku ilee🤣🤣🤣Nikuletee kitafunwa gani ushushie chai yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe ni wewe uliungama siku ilee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilimkuta baba wa watu ameloa jasho, kumbe chanzo ni wewe 🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilimkuta nabbaba wa watu ameloa jasho, kumbe chanzo ni wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo angezubaa na yeye wiki inayofata anatubu🤣🤣🤣🤣Mzigo wa dhambi ulikua mzito [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo angezubaa na yeye wiki inayofata anatubu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna wimbo wa Mnish aliimba kuwa alitubu ameongea na Jane, padri akauliza Jane yupi🤣 akajibiwa, padri akamcharaza viboko na kumwambia hawezi samehewa zambi ya kuongea na Jane🤣. Kumbe Mnish alijichanganya Jane ni usingizi wa padri.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] shenzy weee
Kuna wimbo wa Mnish aliimba kuwa alitubu ameongea na Jane, padri akauliza Jane yupi[emoji1787] akajibiwa, padri akamcharaza viboko na kumwambia hawezi samehewa zambi ya kuongea na Jane[emoji1787]. Kumbe Mnish alijichanganya Jane ni usingizi wa padri.
🤣🤣🤣 Ulipigwa tukio wewe sio bureMapadri ni shida, nina kitu kinachohusiana na hao watu, sema bado sijawa tyr kuwashirikisha wana JF.
Kila nikiandika nikifika mwisho nafuta [emoji17]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ulipigwa tukio wewe sio bure
hujatoa maoni yako mzee🤣🤣🤣 Ulipigwa tukio wewe sio bure
Maoni gani bosshujatoa maoni yako mzee
umeongea kitu cha maana sanawanawazidi hata hao wenye umri mkubwa
[emoji867]Kwakweli mimi hapana nataka mwanaume anizidi kila kitu kwanzia umri,akili,pesa,urefu n.k
Viajana ndio maana mnakuwa kama wehu, unavuliwaje nguo na mtu alie kuacha umri kama sio kuachiwa laana mkuu ? Ndio maana wehu wanaongezeka siku hizi.. mambo ndio kama hayaMaisha yangu yote, toka naanza kujitambua mpaka sasa, nimekua nikivutiwa sana na wanawake walionizidi umri. Sijui ni kwanini au ni kivipi nimekua na hii tabia.
Nilichokua nakifanya ni kupuuzia na kukandamiza hisia zangu, ikitokea nimempenda binti aliyenizidi umri, basi nafanya kumpotezea ama kumkwepa kadri niwezavyo.
Niliwahi kumpata binti mmoja kwa kumdanganya umri, ila ilinitokea puani vibaya mno.
Lakini hivi karibuni nimeanza kuona kama najitesa sana kwa kuzuia hisia zangu. Nataka sasa nijaribu bahati yangu.
Swali kwenu wadada, je unaweza kua na mwanaume uliyemzidi umri, tuseme kuanzia mwaka 1 hadi miaka 10?
Unalichukuliaje swala hili? haiwezekani kabisa au ni ushamba wangu tu?
Nahitaji mawazo yenu dada zangu na shangazi zangu.
NB: wanaume pia mnaruhusiwa kuchangia kama una cha muhimu au ushauri.
To yeye
Leejay49
Demi
Aaliyyah
Kelsea
Lenie
Depal
Lovie Lady
Darlin
Ms eyes
Dahan
cocastic
Cute Wife
Bushmamy
Joanah
Joannah
Dejane
Palina
Kapeace
Cienna
Tinsley
Bantu Lady
🤣🤣🤣Tusumbufu hutoo,tung'ang'anizi tukionja papuchi....siwataki hata kuwasikia🙄
asante kwa kuleta mtazamo wa tofauti mkuuunavuliwaje nguo na mtu alie kuacha umri kama sio kuachiwa laana mkuu ?
Mapadri ni shida, nina kitu kinachohusiana na hao watu, sema bado sijawa tyr kuwashirikisha wana JF.
Kila nikiandika nikifika mwisho nafuta [emoji17]