YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Cute shusha vitu bas au niambie mimi afu nitakusaidie kuandika
Bado sijawa tayari, neema ya Bwana ikinishukia nitauleta live [emoji4][emoji4][emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cute shusha vitu bas au niambie mimi afu nitakusaidie kuandika
Hapo target ni maokoto mkuu mapenzi yalishazikwa... Na akiwa Spana mkononi ni furaha kwa binti..... Hapo ni kuweka nyaraka vizuri kwa majina kabla hawajakaa chini ya turubai/tentKuna binti kaolewa na mwanaume kamzidi 30 years okus kisa pesa.namuonea sana huruma maana mwanaume ni spina mkononi. Yaani ana stress kama zote. Sasa hivi anaanza kuona jamaa ni msumbufu.
Mkuu umenitumia dole la kati au sijaelewa??[emoji867]
Hapana hiyo ni Upside kumaanisha izingatiwe hiyo hoja ya juu.Mkuu umenitumia dole la kati au sijaelewa??
diii kithamvu tena ebu ngoja tuone 😂Lini utakitafuna kisamvu changu?
Me nimemfanyia utu tu maana sikua na jibu sahih.We jamaa mhuni sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijui nakufananisha[emoji848]Mimi nadhani ni suala la mtazamo tu.
Sioni shida mm kuoa au kuishi na dada aliyenizidi umri. Kinachomatter ni akili ya muhusika. Kujitambua, Heshima, masikilizano, nidhamu na bidii ya kutafuta maisha ndo vitu muhimu.
Sababu Kuna ambao wameolewa/ kuoa na waliowazidi umri Ila tunashuhudia vituko Tu kila siku ugomvi.
Cha muhimu ni kumuelewa mwenzio Mambo ya umri hayana maana sababu mnaweza kusimama mbele za watu na isionekane tofauti ya umri wenu. Zaidi ni nyinyi wenyewe ndo mnajua.
Kwaiyo kwangu mm ni Sawa Tu na hata Kwa wale ambao wanaona sio sawa ni Sawa Tu. Hatuwezi kuwa na mitazamo inayolingana Kwa kila kitu.
Tofauti za mitazamo ndo inayofanya dunia iendelee kuwepo.
Kumbemsiwavulie nguo watoto, mnawapa laana bila kujua.. badae mnakuja sema vijana wameharibikiwa, kumbe mnawaharibu wenyewe...
Hapana hujanifananisha.Sijui nakufananisha[emoji848]
Jamani za miaka mingapi?Hapana hujanifananisha.
Ni Mimi Valentina. Tulishawahi kuwasiliana.
Kheee umebadilika tena 😆 😆 😆 😆🤣🤣🤣Tusumbufu hutoo,tung'ang'anizi tukionja papuchi....siwataki hata kuwasikia🙄
🤣🤣🤣We,utaniweza 😔Kheee umebadilika tena 😆 😆 😆 😆
Nipo.Jamani za miaka mingapi?
Ukajua kupotea
So ana 60 nimechaka mnoooKanuni ni moja-:
Binti akikwambia ana miaka 30 zidisha mara tatu then gawia 2 ndo utapata umri wake halisi.
Nawasilisha!
toa maoni yako kalpanaKheee umebadilika tena 😆 😆 😆 😆
Sawa tuu haina shida...cha msingi upendo,heshima na utu viwepo...toa maoni yako kalpana
Spana mkononi ndo nini?Hapo target ni maokoto mkuu mapenzi yalishazikwa... Na akiwa Spana mkononi ni furaha kwa binti..... Hapo ni kuweka nyaraka vizuri kwa majina kabla hawajakaa chini ya turubai/tent
Kaka angu fanya kunitumia mimi ili ninywe vinywaji changamfu achana na Leeyjay anayekunywa apple punch atajaza nzi tuHahahah sasa hivyo si buku buku tu[emoji1787] siku ukianza kunywa vinywaji changamfu vya elfu 4 au zaidi utanijuza.
[emoji23] Auntie ulilia kweli kabisaMara ya kwanza natongozwa na katoto nimekazidi miaka sijui 5 haki nililiiiaaa!! Sijui kalinionaje kale[emoji134][emoji134][emoji134]
Kaka angu fanya kunitumia mimi ili ninywe vinywaji changamfu achana na Leeyjay anayekunywa apple punch atajaza nzi tu