Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

[emoji23]
 
Mimi kwa upande wangu BIG NO kudate na mtu niliyemzidi,mara nyingi huwa wanagubu,hata ukimkanyaga hata kwa bahati mbaya anajua sababu wewe ni mkubwa [emoji28] NB:Napenda mwanaume anizidi kila kitu.
 
Yaani mimi niwe na kavulana ka 30s Yr? Ohh nope. Labda nikaajiri kachekeshaji kangu
kuna wadada wawili nilikuwa nafanya nao kazi, mmoja 34, mwingine 30, walikuwa wanaongea kauli hizi hizi ila baada ya muda wote nimetikisa nyavu.

conclusion; Mwanamke huwa hasikilizwi, anachoongea sio anachomaanisha. Mwanaume ni mwanaume tu, hata uwe na miaka 10 ukiwekewa mpira unatikisa.
 
Mimi kwa upande wangu BIG NO kudate na mtu niliyemzidi,mara nyingi huwa wanagubu,hata ukimkanyaga hata kwa bahati mbaya anajua sababu wewe ni mkubwa [emoji28] NB:Napenda mwanaume anizidi kila kitu.
Mwanaume akuzidi kila kitu, si ndio? na asikusaliti bcoz you're an angel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…