Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Yes hata mi 1-5Wewe umemzidi wako miaka mingapi? 1-5 naona sio issue, Ila ikiwa 15 mmmh!
Kwangu sio case, km mhusika atakua real ,Yuko willing
Nitamheshimu,nitampa nafasi yake km mwanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes hata mi 1-5Wewe umemzidi wako miaka mingapi? 1-5 naona sio issue, Ila ikiwa 15 mmmh!
Mbona hiyo kawaida kabisa 30kwa26Wewe na miaka yako 30 anakuja dogo ana 26 tu na anakukalisha vizuri sana.
Hata ukimzidi 20yrs mkuu?Yes hata mi 1-5
Kwangu sio case, km mhusika atakua real ,Yuko willing
Nitamheshimu,nitampa nafasi yake km mwanaume
haya mrembo.karibuKuanzia 10 yrs hapana jmn
Kwangu mi naona siwezi
Maana wakati Niko 60+
Mwanaume ndo kwanza itakuwa kumekucha,na lzm atafute wa umri wake sa hiyo kukidhi mahitaji..
Hapa naongelea relationship ya muda mrefu km ndoa sio hizi za kupita
NakaziaHahahah aliekwambia madogo wote wanalelewa nani. Mtu anakuja kwako akiwa well established. Ana kampuni zake ana run kama CEO. Mkwanje mrefu Dubai kama towntrips tu. 🤣
Acheni usanii!!! Hakuna mwanamke anayekataa mtu mwenye uhakika wa maokoto hata awe janki.
Hapana1-5 it's fineHata ukimzidi 20yrs mkuu?
I mean lets be real and stop frontin like benjamins ain't a thing to you 🤣Umeanza🤣🤣
EhwaaaNakazia
Cha mhimu gap lisiwe kubwa sn
Mimi anizidi,nimzidi hakuna shida,cha mhimu asimane kwenye nafasi yake km mwanaume,baba....Asante sana kwa kujielewa unataka nini na kusimamia upande wako kwa uthabiti usiopindika.
Sina tatizo na wewe kabisa.
Tatizo ni kwa wale wanaotaka kuwa sawa au zaidi ya wanaume, halafu hapo hapo wanataka wanaume wawalipie bill zao zote.
Contradiction.
To be honest, siwezi date na mtu hata ambaye tunalingana umri, napenda my man awe amezidi walau kuanzia miaka 5 hivi hadi 10..tofauti na hapo better niendelee kuwa single
To be honest, siwezi date na mtu hata ambaye tunalingana umri, napenda my man awe amezidi walau kuanzia miaka 5 hivi hadi 10..tofauti na hapo better niendelee kuwa single
Nilimzidi 8 years mkuu, kwa sasa am dating an older guy...nilipigwa tukio zito sana na cocomelon nimeshasimuliaWewe umemzidi wako miaka mingapi? 1-5 naona sio issue, Ila ikiwa 15 mmmh!
Mahusiano yalikuwaje mkuu!Nilimzidi 8 years mkuu, kwa sasa am dating an older guy...nilipigwa tukio zito sana na cocomelon nimeshasimulia
Utashangaa unataka msex tu then mje kuachana....wao kwa kupenda kamserereko anaanza kukuganda akuoe eti😳👀Usumbufu upi? Upendo upo?
Matunzo yapo?
🤔🤭Aiseee sio Kwa hiyo tofautiMimi wakati nina miaka 27 nilikuwa na mahusiano na mama mmoja wa kirangi yeye alikuwa na miaka 49 pale mtwara mjini, kiukweli yule mama alikuwa ananipenda sana kiukweli alinifanyia mambo mengi sana wakati huo sina ramani yakueleweka town,chakushangaza alikuwa ananiamkia nilikuwa nafurahi sana
Mbona kawaida sana hili wanadai mke hawi mkubwa kwenye mapenzi🤔🤭Aiseee sio Kwa hiyo tofauti
Mama yangu23 different 🙌🙌
DuhMbona kawaida sana hili wanadai mke hawi mkubwa kwenye mapenzi
NakaziaUmeongea mama, mi nampima mwanaume jinsi anapambania familia yake, jinsi anajua majukumu yake, urefu wako na usix packs aisee havileti ugali mezani wala ada za watoto, hao watoto wakiwa na sura ngumu au muonekano wa kawaida so long wamesoma na mewapambania kuwajengea bright future watapata tu wenzi...kua na janaume Hadi umeme anakupigia simu utume token kisa tu ni mrefu ,six packs, good looking and powerfully hands hapana jamani....