Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

Ngumu mkuu,lakini ndivyo tunavyo interpret ukumbuke tunazaa watoto watakaosambaza DNA/uzao wetu mpaka kizazi kinachofuata, na kinachofuata hilo ndio lengo kuu la procreation...
Sijui Kwa Nini uandishi wako naona kama una ukakasi!mbona kama unaingilia sana majukumu ya Mungu?Duh aiseeee hata sijui.

Anyways, nakushauri chunga sana ndimi Yako.
 
Ngumu mkuu,lakini ndivyo tunavyo interpret ukumbuke tunazaa watoto watakaosambaza DNA/uzao wetu mpaka kizazi kinachofuata, na kinachofuata hilo ndio lengo kuu la procreation,mtu akiwa mbaya maanake atasambaza genes mbaya kwa watoto,na watoto wakizaliwa kama sio wazuri maanake watashindwa kupata mates,na wakishindwa kupata mates maana yake DNA zetu hazitakua passed on, mimi siwezi kuelezea vizuri lakini ni hivyo...lol
Sijui Kwa Nini uandishi wako naona kama una ukakasi!mbona kama unaingilia sana majukumu ya Mungu?Duh aiseeee hata sijui.
Anyways, nakushauri chunga sana ndimi Yako.
 
Back
Top Bottom