Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Miaka kwanza, usijekuniamkia bure ili uonekane mdogo kumbe ni mamdogo😂😂Tutawezana😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka kwanza, usijekuniamkia bure ili uonekane mdogo kumbe ni mamdogo😂😂Tutawezana😅
hatimae nimekuona na msimamo wako ule uleNi kipaji chako komaa nacho mi sina
Aaarrgh yani kwanza mnazungumza nini na mdogo wako? Huo utii utatoka wapi😂😂hatimae nimekuona na msimamo wako ule ule
Akuzidi hadi dhambi...wewe hujawahi kupoa🤣Yani ni hivi mwanaume anatakiwa kunizidi parefu kwa kila kitu hadi dhambi, shem wako ananipiga gap la 15 kwahiyo kwa mujibu wa mada yako binafsi sitaki hata tulio rika moja
Kila sehemu anizidi hadi magonjwa sukari presha haina tabu dudu ikigoma kuinuka ni heri mara elfu nitumie dildo sio kulea pumbu za mtu eti kisa anikunje mfyuuuuuuuuuuuuuuAkuzidi hadi dhambi...wewe hujawahi kupoa🤣
😂 😂 😂 kuna wengine wanaweza ila wengi hawawezi ila inategemea na rate ya kupishana isiwe sana.Aaarrgh yani kwanza mnazungumza nini na mdogo wako? Huo utii utatoka wapi😂😂
Sijui Kwa Nini uandishi wako naona kama una ukakasi!mbona kama unaingilia sana majukumu ya Mungu?Duh aiseeee hata sijui.Ngumu mkuu,lakini ndivyo tunavyo interpret ukumbuke tunazaa watoto watakaosambaza DNA/uzao wetu mpaka kizazi kinachofuata, na kinachofuata hilo ndio lengo kuu la procreation...
Sijui Kwa Nini uandishi wako naona kama una ukakasi!mbona kama unaingilia sana majukumu ya Mungu?Duh aiseeee hata sijui.Ngumu mkuu,lakini ndivyo tunavyo interpret ukumbuke tunazaa watoto watakaosambaza DNA/uzao wetu mpaka kizazi kinachofuata, na kinachofuata hilo ndio lengo kuu la procreation,mtu akiwa mbaya maanake atasambaza genes mbaya kwa watoto,na watoto wakizaliwa kama sio wazuri maanake watashindwa kupata mates,na wakishindwa kupata mates maana yake DNA zetu hazitakua passed on, mimi siwezi kuelezea vizuri lakini ni hivyo...lol
Siingilii Majukumu yoyote, ukitaka kujifunza tafuta mwenyewe uone....Sijui Kwa Nini uandishi wako naona kama una ukakasi!mbona kama unaingilia sana majukumu ya Mungu?Duh aiseeee hata sijui.
Anyways, nakushauri chunga sana ndimi Yako.
Unaweza kujiona km una mkosi kabisa😂😂Mara ya kwanza natongozwa na katoto nimekazidi miaka sijui 5 haki nililiiiaaa!! Sijui kalinionaje kale🙆🙆🙆
alinipelekesha kama gari bovu nilichakaa na vile alijua nampenda kwa kweli sikuwa free.[emoji2][emoji2]Ulikua huru nae lkn ama ulikua unajilazimisha?
🤣🤣🤣Njoo PM chap nikupe kitambulisho cha NIDA.Miaka kwanza, usijekuniamkia bure ili uonekane mdogo kumbe ni mamdogo😂😂
Msimamo wangu hauna rate ya kupishana isiwe sana kwa mahusiano maridadi kwangu gap ni 5-18😂 😂 😂 kuna wengine wanaweza ila wengi hawawezi ila inategemea na rate ya kupishana isiwe sana.
Khaa! Pole sana.alinipelekesha kama gari bovu nilichakaa na vile alijua nampenda kwa kweli sikuwa free.
Okay.Siingilii Majukumu yoyote, ukitaka kujifunza tafuta mwenyewe uone....
kwa msimamo huo nakupa 5 star ratings vijana wakikufata unawaona kama panya tuMsimamo wangu hauna rate ya kupishana isiwe sana kwa mahusiano maridadi kwangu gap ni 5-18
yalishapita and you unaweza date uliemzidi umri?Khaa! Pole sana.
Yani najisikiaga vibaya mno basi tu,kwa msimamo huo nakupa 5 star ratings vijana wakikufata unawaona kama panya tu