Kwenu wataalamu, ni upi uzuri wa gari hii aina ya Probox?

Huwa nawaza unakapiga tairi Nene na unakainua kidogo,nadhani katakuwa na muonekano mkali wa kibishi
 
Huwa nawaza unakapiga tairi Nene na unakainua kidogo,nadhani katakuwa na muonekano mkali wa kibishi
Ukifanya hivyo unakuwa umeharibu torque ya engine inaongeza ulaji wa mafuta, lakini inawezekana unachongea disc na rim zake kazi yote ya nini?
Kama unataka gari ya juu mafuta kidogo, mwendo wa Kobe nunua CAMI au kama unapesa ndefu vuta RUSH
 
Gari ya kazi hiyo. Rough road inahimili sana. Zinatumika sana kusafirisha abiria vijijini huko kusiko na barabara
 
Kinachonikera kidogo ni tairi nyembamba,lkn kwa maisha yangu hii ndo gari naihitaji kitambo,ni suala la muda tu,japo sikujua km ukiiinua na kuiwekea tairi pana inaweza ongeza ulaji wese
Ukifanya hivyo unakuwa umeharibu torque ya engine inaongeza ulaji wa mafuta, lakini inawezekana unachongea disc na rim zake kazi yote ya nini?
Kama unataka gari ya juu mafuta kidogo, mwendo wa Kobe nunua CAMI au kama unapesa ndefu vuta RUSH
 
Mimi wamenikatisha tamaa,kwa jinsi kalivyo mwagiwa sifa nilishawishika...naambiwa ni kafupi Kama ni tall Kama mm ,naambiwa itabidi niendeshe nimepinda mgongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
[emoji23][emoji23] amekutisha
 
Hiizi gani nazikubali Sana

Ukizivisha viatu vile vinne halafu ukaweza na sport rim

Halafu ikawa na rangi ya dark bkuu au black au grey dadake [emoji1]

Hiizi gari unazeeka nazo
 
Shukrani Mkuu
..na mimi nina matarajio nayo kamanda
Uta enjoy sana.
Gari Ina vile vitu essential tu. Hata power window haina, tachometer haina, sijui redio, tiivii haina. Halafu kiti Cha nyuma sio Cha starehe. Kifupi Ni gari sahihi kwa matumizi ya mtoto wa mkulima.
Tena nunua fasta kabla wamama wa kichaga hawajazistukia zikapanda Bei.
Wamama wa kichaga wakizigundua uzuri wake hasa wale wa soko la kwasadala Bei ya hiyo gari itazidi Noah.
 
Hiizi gani nazikubali Sana

Ukizivisha viatu vile vinne halafu ukaweza na sport rim

Halafu ikawa na rangi ya dark bkuu au black au grey dadake [emoji1]

Hiizi gari unazeeka nazo
Sawa sawa Chief
mawazo safi
 
[emoji23][emoji23] kwamba wamama wa kichaga sio watu wazuri.
Nimekusoma Kamanda,umenisaidia kitu muhimu sana!
tupo pamoja.
 
Wengi mnaielezea tu bila hata kuwambia wafau bei za hiyo gar.

Mnaotaka kujua bei , from Japan had mkonon mwako kwa sasa andaa 13m au 12.5.

Kitaa unaweza pata hiyo gar kuanzia 7m had 10m ambayo iko katika Hali nzur tu ,ila ushaur nunua from Japan ndio utaifaid vzr
 
Kama ni mrefu sana kata kibini ongezea bodi juu kidogo ili kichwa kitoshe au kubana bajeti unaweza toboa tundu kichwa kitoke inje halafu unavalia na helmenti wakati unaporndesha!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…