Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Wewe chawa wa Lissu kaa kimya tafadhali😁Hao hamnazo wa Lumumba hudhani wanamiliki akili za watanzania wote. Ni kama kabla ya kujadiliana tuombe kwao ruhusa ya nini cha kujadili na tukijadili vipi.
Robert Heriel Mtibeli kakuelewa hata Mimi nimekuelewa.
Magufuli nihabari nyingine bro, usimlinganishe na vitu vya kawaida.
Mapaka sasaivi ndani ya CCM na Chadema kunawatu wanaogopa jinalake.
Wanaomtajataja kwa ubaya wanahofu mioyonimwao kwasababu wanajua reaction za wananchi dhidi ya raisiwao wa mfano mzuri kuwahi kutoka.
Nahuo ndio ukweli.
Uongo mbaya Lisu anakubalika sn na wananchi wa kawaida
Kura za mtandaoni hazimchagui Mwenyekiti wa CDM. Ila wajumbe wa mkutano mkuu ndiyo humchagua Mwenyekiti wa CHADEMA.Hamjamboni wote!
Magufuli ndiye mtu pekee ambaye alimpiga Lisu home and away. Yaani mtandaoni na kwenye Boksi la Kura.
Kwa Sisi Watibeli wasema Kweli yote, tunasema Kiboko ya Lisu likuwa JPM kwenye suala la kupiga Kura
Lakini Kiboko ya JPM alikuwa ni Lisu kwa upande wa siasa za majukwaani.
Hii ni kusema Lisu na JPM ndio walitoshana kwa kiwango kikubwa.
Kwa sababu kitabia walikuwa wanafanana, tofauti ndogo iliyopo ni kuwa JPM hakuwa muumini wa kufuata Sana sheria na mambo ya demokrasia.
Ila mambo mengine wanafanana.
Sasa kwenye uchaguzi huu uliowakutanisha Mbowe na Lisu.
Wote tumashahidi kuwa Mpaka dakika hii Lisu anaongoza kwa Kura za mitandaoni kwa zaidi ya asilimia 80% huku mshindani wake Mbowe akiwa chini Sana.
Dalili zinaonyesha Lisu atamshinda Mbowe kwa kishindo.
Ikiwa hili litatokea Lisu atakuwa amempiga Mbowe Home and away.
Mambo yamewaka!
Kwako johnthebaptist
Kura za mtandaoni hazimchagui Mwenyekiti qa CDM. Ila wajumbe wa mkutano mkuu ndiyo humchagua Mwenyekiti wa CHADEMA.
KWA taarifa yako 70% ya wajumbe wa mkutano mkuu ni wale waliochaguliwa recently kwenye chaguzi za CHADEMA kikanda zilizoanza May 2024. Wameshinda kwa kinachoitwa na Lissu pesa chafu. Tayari wako kwenye mfumo, hamna namna LISSU atapata 30% ya kura za wajumbe.
Tutarudi hapa MTIBELI
Inawezekana kweli Magufuli alimshinda Lisu, lakini hakuna uhakika alimshinda kwa kura ngapi, maana matokeo ya uchaguzi ule yalikuwa ya udanganyifu mkubwa. Ndio maana Magufuli alitangazwa mshindi lakini hakuwa na raha, na hadi anafariki, uchaguzi ule ni kama ulimuachia kidonda cha kisaikolojia. Kura za maporini unawezaje kusema alimshinda home and away?Hamjamboni wote!
Magufuli ndiye mtu pekee ambaye alimpiga Lisu home and away. Yaani mtandaoni na kwenye Boksi la Kura.
Kwa Sisi Watibeli wasema Kweli yote, tunasema Kiboko ya Lisu likuwa JPM kwenye suala la kupiga Kura
Lakini Kiboko ya JPM alikuwa ni Lisu kwa upande wa siasa za majukwaani.
Hii ni kusema Lisu na JPM ndio walitoshana kwa kiwango kikubwa.
Kwa sababu kitabia walikuwa wanafanana, tofauti ndogo iliyopo ni kuwa JPM hakuwa muumini wa kufuata Sana sheria na mambo ya demokrasia.
Ila mambo mengine wanafanana.
Sasa kwenye uchaguzi huu uliowakutanisha Mbowe na Lisu.
Wote tumashahidi kuwa Mpaka dakika hii Lisu anaongoza kwa Kura za mitandaoni kwa zaidi ya asilimia 80% huku mshindani wake Mbowe akiwa chini Sana.
Dalili zinaonyesha Lisu atamshinda Mbowe kwa kishindo.
Ikiwa hili litatokea Lisu atakuwa amempiga Mbowe Home and away.
Mambo yamewaka!
Kwako johnthebaptist
Ukweli Mbowe anaweza kushinda uchaguzi huu, lakini chama kitakuwa kama CUF. Kumbuka hata Lipumba alishinda uchaguzi kwa wajumbe wa kuhongwa, lakini Maalim Seif ndio aliyekuwa na wafuasi, na alipohamia ACT aliondoka na wafuasi wote, leo hii CUF haichekani na TLP.Kura za mtandaoni hazimchagui Mwenyekiti qa CDM. Ila wajumbe wa mkutano mkuu ndiyo humchagua Mwenyekiti wa CHADEMA.
KWA taarifa yako 70% ya wajumbe wa mkutano mkuu ni wale waliochaguliwa recently kwenye chaguzi za CHADEMA kikanda zilizoanza May 2024. Wameshinda kwa kinachoitwa na Lissu pesa chafu. Tayari wako kwenye mfumo, hamna namna LISSU atapata 30% ya kura za wajumbe.
Tutarudi hapa MTIBELI
Inawezekana kweli Magufuli alimshinda Lisu, lakini hakuna uhakika alimshinda kwa kura ngapi, maana matokeo ya uchaguzi ule yalikuwa ya udanganyifu mkubwa. Ndio maana Magufuli alitangazwa mshindi lakini hakuwa na raha, na hadi anafariki, uchaguzi ule ni kama ulimuachia kidonda cha kisaikolojia. Kura za maporini unawezaje kusema alimshinda home and away?
Ulifanya survey na hakuona idadi ya matokeo ya kura ilikuwa haiendani na idadi ya waliojitokeza kupiga kura, ama ukweli huu haukupendezi? Na huko si ndio hata mawakala wa upinzani hawakuwa wanaruhusiwa kuingia vituoni? Ama ukweli kwako una macho?Mimi nilifanya survey kwa Mkoa wa Arusha na Moshi siku hiyo. Mambo yalikuwa Mabaya kwa Tundu Lisu
Ulifanya survey na hakuona idadi ya matokeo ya kura ilikuwa haiendani na idadi ya waliojitokeza kupiga kura, ama ukweli huu haukupendezi? Na huko si ndio hata mawakala wa upinzani hawakuwa wanaruhusiwa kuingia vituoni? Ama ukweli kwako una macho?
Nimecheka kwa nguvu, kama waliiba kura, unaweza vipi kusema alishinda kwa kishindo? Ukiamua kusema ukweli jitahidi mahaba yasizidi ukweli. Vinginevyo useme ukweli kwako hauna nafasi kuliko mahaba yako.Waliiba Kura kwa hofu tuu. Ila Ile mechi Magufuli alikuwa ameshinda mapema Sana tena kwa kishindo.
Magufuli aliwawin wananchi Hilo tuu
Kura za mtandaoni hazimchagui Mwenyekiti qa CDM. Ila wajumbe wa mkutano mkuu ndiyo humchagua Mwenyekiti wa CHADEMA.
KWA taarifa yako 70% ya wajumbe wa mkutano mkuu ni wale waliochaguliwa recently kwenye chaguzi za CHADEMA kikanda zilizoanza May 2024. Wameshinda kwa kinachoitwa na Lissu pesa chafu. Tayari wako kwenye mfumo, hamna namna LISSU atapata 30% ya kura za wajumbe.
Tutarudi hapa MTIBELI
Nimecheka kwa nguvu, kama waliiba kura, unaweza vipi kusema alishinda kwa kishindo? Ukiamua kusema ukweli jitahidi mahaba yasizidi ukweli. Vinginevyo useme ukweli kwako hauna nafasi kuliko mahaba yako.
Huyu uliyempasia mpira ni kirusi cha ccm😄Hamjamboni wote!
Magufuli ndiye mtu pekee ambaye alimpiga Lisu home and away. Yaani mtandaoni na kwenye Boksi la Kura.
Kwa Sisi Watibeli wasema Kweli yote, tunasema Kiboko ya Lisu likuwa JPM kwenye suala la kupiga Kura
Lakini Kiboko ya JPM alikuwa ni Lisu kwa upande wa siasa za majukwaani.
Hii ni kusema Lisu na JPM ndio walitoshana kwa kiwango kikubwa.
Kwa sababu kitabia walikuwa wanafanana, tofauti ndogo iliyopo ni kuwa JPM hakuwa muumini wa kufuata Sana sheria na mambo ya demokrasia.
Ila mambo mengine wanafanana.
Sasa kwenye uchaguzi huu uliowakutanisha Mbowe na Lisu.
Wote tumashahidi kuwa Mpaka dakika hii Lisu anaongoza kwa Kura za mitandaoni kwa zaidi ya asilimia 80% huku mshindani wake Mbowe akiwa chini Sana.
Dalili zinaonyesha Lisu atamshinda Mbowe kwa kishindo.
Ikiwa hili litatokea Lisu atakuwa amempiga Mbowe Home and away.
Mambo yamewaka!
Kwako johnthebaptist
Kwa sasa CCM tunahofia sana UPDP ya Fahmi Dovutwa kama mpinzani. CHADEMA chini ya Mbowe ni chama rafiki.
Huyu uliyempasia mpira ni kirusi cha ccm😄
Naona unaendelea kumpigania ropo ropo wako bwana chawa wa Lisu 🤣🤣Hamjamboni wote!
Magufuli ndiye mtu pekee ambaye alimpiga Lisu home and away. Yaani mtandaoni na kwenye Boksi la Kura.
Kwa Sisi Watibeli wasema Kweli yote, tunasema Kiboko ya Lisu likuwa JPM kwenye suala la kupiga Kura
Lakini Kiboko ya JPM alikuwa ni Lisu kwa upande wa siasa za majukwaani.
Hii ni kusema Lisu na JPM ndio walitoshana kwa kiwango kikubwa.
Kwa sababu kitabia walikuwa wanafanana, tofauti ndogo iliyopo ni kuwa JPM hakuwa muumini wa kufuata Sana sheria na mambo ya demokrasia.
Ila mambo mengine wanafanana.
Sasa kwenye uchaguzi huu uliowakutanisha Mbowe na Lisu.
Wote tumashahidi kuwa Mpaka dakika hii Lisu anaongoza kwa Kura za mitandaoni kwa zaidi ya asilimia 80% huku mshindani wake Mbowe akiwa chini Sana.
Dalili zinaonyesha Lisu atamshinda Mbowe kwa kishindo.
Ikiwa hili litatokea Lisu atakuwa amempiga Mbowe Home and away.
Mambo yamewaka!
Kwako johnthebaptist