Kwenye ekaristi takatifu ni Yesu au Mungu katika nafasi tatu??

Kwenye ekaristi takatifu ni Yesu au Mungu katika nafasi tatu??

Wakatoliki wanasoma biblia kuliko kiumbe yeyote duniani.Ukihidhuria misa mfululizo kwa miaka mitatu unakamilisha biblia nzima kuanzia Mwanzo hadi ufunuo.Kila misa masomo ya Injili,agano la kale,agano jipya husomwa.Si kama.wale.wanaokaririshwa mistari wanayopenda kusikia
wanasomewa, siyo kusoma. wanaulizwaga wanasoma ili iweje. Biblia yenyewe hawaifuati, kwanini wasome
 
Yesu alisema! Chakula cha watoto Haifa kumpa mbwa. Watoto ni nani na mbwa ni nani, naomba ni julishwe.
 
Hii mada wale wa makanisa ya kipentekoste haiwafai. Hawaamini Ekaristi ni Yesu mzima ktk maumbo ya mkate na divai. Wao yeyote anaweza kuandaa meza ya Bwana na kushiriki! Yeyote as long ameokoka anaweza kufanya mageuzo na wanajilisha wenyewe mkate na divai.

Makanisa ya Kiprotestanti tunatofauti moja juu ya kuamini Ekaristi ni Yesu mzima lakini machafuko mengine yaliyopo makanisa ya kiroho hayapo ikiwemo kila mtu kuweza kufanya mageuzo.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mama Maria alimzaa Yesu, ndio sahihi. Na Yesu ni mwana wa Mungu. Hivi mkuu ndani ya baadhi ya parokia za kanisa katoliki huwa kuna kanisa dogo linaitwa "Yesu wa Ekaristi". Nini maana ya Jina hili Yesu wa Ekaristi ?
 
Inavyoaminika katika Ekaristi Takatifu, Yesu Kristo yupo kwa njia ya uwepo wake halisi kabisa, ambayo ni uwepo wa Mungu kwa njia ya Utatu Mtakatifu...
 
Back
Top Bottom