Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
wanasomewa, siyo kusoma. wanaulizwaga wanasoma ili iweje. Biblia yenyewe hawaifuati, kwanini wasomeWakatoliki wanasoma biblia kuliko kiumbe yeyote duniani.Ukihidhuria misa mfululizo kwa miaka mitatu unakamilisha biblia nzima kuanzia Mwanzo hadi ufunuo.Kila misa masomo ya Injili,agano la kale,agano jipya husomwa.Si kama.wale.wanaokaririshwa mistari wanayopenda kusikia