Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
wanasomewa, siyo kusoma. wanaulizwaga wanasoma ili iweje. Biblia yenyewe hawaifuati, kwanini wasomeWakatoliki wanasoma biblia kuliko kiumbe yeyote duniani.Ukihidhuria misa mfululizo kwa miaka mitatu unakamilisha biblia nzima kuanzia Mwanzo hadi ufunuo.Kila misa masomo ya Injili,agano la kale,agano jipya husomwa.Si kama.wale.wanaokaririshwa mistari wanayopenda kusikia
yote hayo ni mamiungu ya kirumiBila kusahau jumamosi, saturday ilikuwa ni siku ya Mungu saturn. Moja ya Mungu wa kirumi na Baba wa jupiter. (Saturday = saturn + day)
Mama Maria alimzaa Yesu, ndio sahihi. Na Yesu ni mwana wa Mungu. Hivi mkuu ndani ya baadhi ya parokia za kanisa katoliki huwa kuna kanisa dogo linaitwa "Yesu wa Ekaristi". Nini maana ya Jina hili Yesu wa Ekaristi ?Hii mada wale wa makanisa ya kipentekoste haiwafai. Hawaamini Ekaristi ni Yesu mzima ktk maumbo ya mkate na divai. Wao yeyote anaweza kuandaa meza ya Bwana na kushiriki! Yeyote as long ameokoka anaweza kufanya mageuzo na wanajilisha wenyewe mkate na divai.
Makanisa ya Kiprotestanti tunatofauti moja juu ya kuamini Ekaristi ni Yesu mzima lakini machafuko mengine yaliyopo makanisa ya kiroho hayapo ikiwemo kila mtu kuweza kufanya mageuzo.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Uzi ulikua unaenda vizuri, ushaanza kuujambia.Ukirisito kweli ni upagani ukitaka kuamini wafatilie kuanzia hawa wanao jiita mitume mapadri ndio kabisa kazi kuriwatwi watoto
Safi Sana!Ni Yesu katika maumbo ya mkate na divai
Kwani sasa hakuwa pope? Shida unatafsiri kivyako. Yes, Peter was pope!Endeleeni kulishana sumu, sumu ni nyingi hadi kwamba Petro alikuwa Pope