Battor
JF-Expert Member
- Mar 21, 2019
- 1,964
- 3,496
Yuri Boyka Ndio huyo huyo scott adkinsYule jamaa (BOYKA) anachapa mkono wa kibabe sana
Kizibo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuri Boyka Ndio huyo huyo scott adkinsYule jamaa (BOYKA) anachapa mkono wa kibabe sana
Kizibo
😆😆😆😆😆 Michael Jai White yule ni Mchafu wa Tai Chii acha kabisa, napenda mapigo yake sana jamaa hasa kwenye ile Blood N Bones!Kuna mjuba mwengine anaitwa Michael Jai White naye ni balaa na nusu...
Scot Adkins...Iam the most completed fighter in the world!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yuri Boyka Ndio huyo huyo scott adkins
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Michael Jai White yule ni Mchafu wa Tai Chii acha kabisa, napenda mapigo yake sana jamaa hasa kwenye ile Blood N Bones!
Anakupiga kama hataki yani, kwa utulivu wa hali ya juu. Akikuvunjia kata 2/3 tayari unakuwa ushatepeta [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mjuba mwengine anaitwa Michael Jai White naye ni balaa na nusu...
Scot Adkins...Iam the most completed fighter in the world!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wilder kapigwa kama mtoto aisee. Nikiflashback zile mbwembwe zake 😂😂😂 kuingia na vazi kama Monster.
Wilder kapigwa kama mtoto aisee. Nikiflashback zile mbwembwe zake [emoji23][emoji23][emoji23] kuingia na vazi kama Monster.
Hatari yule jamaaScott hafai..kwanza ni mwepesi anaweza kurusha ngumi ukaikwepa akaleta teke susawa wa ngumi ule ule kwa sekunde ile ile alaiyorusha ngumi.
Sio mtu yule ni jinii
Sent using Jamii Forums mobile app
NdioYuri Boyka Ndio huyo huyo scott adkins
Kama sikosei undisputed 2 scott alikaa kwa mwamba jai white[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Michael Jai White yule ni Mchafu wa Tai Chii acha kabisa, napenda mapigo yake sana jamaa hasa kwenye ile Blood N Bones!
Anakupiga kama hataki yani, kwa utulivu wa hali ya juu. Akikuvunjia kata 2/3 tayari unakuwa ushatepeta [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila scot naye no mkali. Nafkiri mara ya kwanza namuona ni ktk Special Forces US wanaenda USSR baada ya nchi moja kupinduliwa then Scot anakuwepo kama spy wa UK anayewasaisia US.Jason bourne?? Yule ni mkali wakutumia zana,mapigano ya ki spy spy kama kina jes bond,tom cruise huwezi kufananisha na mapigano ya ki martial arts kama ya kina scott,donnie,tonny ja,n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko pamoja.!Kuna mjuba mwengine anaitwa Michael Jai White naye ni balaa na nusu...
Scot Adkins...Iam the most completed fighter in the world!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kama michael jai white wwKiukwel kwenye filamu za kizungu sijaona mtu anayetisha Kama Scott Adkins kwenye mapigano.Huyu jamaa namkubali ile mbaya ukitaka kumjua vizuri mwangalie kwenye avengement, incident man.Ninja: shadow of a tear na nyingine nyingi.
ulivyonitajia huyu mtu nimecheka sana 😂😂 huyu fala na the rock wananichekeshaga kinoma wakikutana kuanzia kwenye Fast 8 na hii ya Fast and Furious Hobbs and Shaw wanaubishani wakifala sana 😂😂😂
Scott vs Michael j white cheki mziki huo.