Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 4,033
- 8,805
Donnie Ni nyoko
Kizibo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Donnie Ni nyoko
Bruce lee Basi tu labda kwa kuwa ndo alieufanya mchezo wa Martial arts uwe maarufu, lkn jamaa alikuwa wa kawaida SanaHakuna kama Bruce Lee mpaka dunia inasepa...sema umeshasema tudeal na wazungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa hapendezei..Kuna zile picha amefuga midevu..jamaa anatisha ukilinganisha na kichapo chake..hahaa anaonekan kuwa na roho ngumu na mbaya
Fala tu uwezo mdogo 🤣🤣🤣 ye alitegemea mikwala itamuokoa badala arushe ngumi!Halafu anasingizia vazi lilikuwa zito
Yaani avae yeye na lawama yeye [emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using Tapatalk
Scott vs Michael j white cheki mziki huo
[emoji23][emoji23]
Fala tu uwezo mdogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ye alitegemea mikwala itamuokoa badala arushe ngumi!
Imebidi nikae kimyaUzi ulikuwa mzuri tu kabla jamaa wa kuitwa Kizibo kusema Bruce Lee alikuwa wakawaida sana.
Hahaha pale kwenye Ring hakuitajigi mbwembwe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uswahili mwingi
Sent from my iPhone using Tapatalk
Hahaha pale kwenye Ring hakuitajigi mbwembwe.
Hahaha Jana nimetoka kuangalia tena marudio...Amechapika ila bado anamlaumu Refa na kocha kwanini wamemaliza pambano...Wilder kapigwa kama mtoto aisee. Nikiflashback zile mbwembwe zake [emoji23][emoji23][emoji23] kuingia na vazi kama Monster.
Duh Huyu Mwamba Anatisha....Ila kuna kiumbe hapa bongo japo hajafika mainstream ila yuko njema sana jamaa anaitwa agent bavo, anapiga mkono wa level za akina Boyka. Mcheki hapo mazoezini
Dah nimecheka 😂Michael akikudaka anakuvunja mifupa yule na mamikono yake! Ni balaa
Scott anajifanyaga mrusi kwenye movie zake zote kumbe mtoto wa malkia
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Donnie Yen anaupiga mwingi sana kuliko huyo jamaa.pia movie zake zinatabirika unajua itaanzaje na kuishaje sio mbunifu.nikiangalia muvi na kukuta yeye ndio star natoa na kutafuta nyingine sijatokea kumkubali.ila kwa mkono hakuna kama Donnie Yen angalia Ip man 3 wakati anablock ngumi za Mike Iron Tyson mpaka vidole vikamuumaKwenye Ip man 4 ya Donnie yen Scott Adkins yupo Tena kacheza Kama adui angalie ule mkono aliouchapa dhidi ya Donnie yen
Heshima kwakeMichael Jai White mnapomtaja mnatakiwa kusimama kuonesha heshima.