Kwenye haya Maisha kuna watu ni untouchable , hii nimejifunza kwa njia ngumu.

Kwenye haya Maisha kuna watu ni untouchable , hii nimejifunza kwa njia ngumu.

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Nilichojifunza sio kila mtu anagusika .

Kuna jirani yetu ukimjaribu basi lazima mpoteane .

Nilimfata na kumuuliza inakuaje kila anayetaka kukufanyia ubaya au anayekufanyia anapoteana

Alinijibu kuwa hiyo hata yeye hajui na wamezikwa watu wengi na kupoteana tangia zamani.

Mimi mwenyewe najiuliza hii ni nguvu ya aina gani? Kila anayekujaribu anapoteana?.
 
Nilichojifunza sio kila mtu anagusika .

Kuna jirani yetu ukimjaribu basi lazima mpoteane .

Nilimfata na kumuuliza inakuaje kila anayetaka kukufanyia ubaya au anayekufanyia anapoteana

Alinijibu kuwa hiyo hata yeye hajui na wamezikwa watu wengi na kupoteana tangia zamani.

Mimi mwenyewe najiuliza hii ni nguvu ya aina gani? Kila anayekujaribu anapoteana?.
Hajakuambia tu, anajua vizuri. However watu huwa wana siri
 
Back
Top Bottom