Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Dawa yake ni mwanamke tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo nakataa,Mungu yupo na Atakuwepo!Ana kinga ya kufa mtu au mizimu yake inamlinda. Ukitupa bomu linarudi kwako mara mbili. Ndio maana nakazia kuwa achana na hizi dini za kigeni, zingatia jadi yako.
Na kama wewe pia umeumiza wengi, kuna madhara yoyote yaliyokukutaHee usiombe kinarudi kwa mtu anayempenda kwenye familia au kwake. Mmoja alilia na kupiga magoti kwa aliyotenda. Maana dada yake ndiyo alitendewa vilevile. Nilimsamaehe na yakaisha pia kwao.
Hakuna mkamilifu, nakosea na huwa naomba samahani nikijua nimekosea mimi. Kuna mazuri na mabaya maishani. Ila huwa naogopa kumfanya mtu aumie sana na kulia. Sababu najua maumivu yake, mimi mtu nikimfanya ajisikie wa thamani, mwenye furaha ndiyo kitu napenda. Ila usivuke Red line.Na kama wewe pia umeumiza wengi, kuna madhara yoyote yaliyokukuta
Huna lolote! unajaribika vizuri tu 😃Mimi pia ukinijaribu unazikwa futi 6 chini, huamini nijaribu
Meneja masoko wa mganga wa kienyeji hapa anatafuta wateja.Nilichojifunza sio kila mtu anagusika .
Kuna jirani yetu ukimjaribu basi lazima mpoteane .
Nilimfata na kumuuliza inakuaje kila anayetaka kukufanyia ubaya au anayekufanyia anapoteana
Alinijibu kuwa hiyo hata yeye hajui na wamezikwa watu wengi na kupoteana tangia zamani.
Mimi mwenyewe najiuliza hii ni nguvu ya aina gani? Kila anayekujaribu anapoteana?.
MaybeHee usiombe kinarudi kwa mtu anayempenda kwenye familia au kwake. Mmoja alilia na kupiga magoti kwa aliyotenda. Maana dada yake ndiyo alitendewa vilevile. Nilimsamaehe na yakaisha pia kwao.
Yeye tu kutoa ushuhudaWaliojaribu kumgusa Lissu wako wapi? Amebaki Bashite kwa ajili ya kutoa ushuhuda tu
Mimi ukinitendea mabaya yale ya kuuma, nikalia aisee kufa hufi ila cha moto utakiona. Sikuwa najua ila wenyewe wamekuwa wanarudi kuomba msamaha, kama kuna sehemu walinikosea!!!
Nina mengi ya kueleza ila watu yanawapata hivi, na ukiuliza mbona unataka nikusamehe kuna nini? Kuna wanaoelezea yaliyowakuta baada ya kunifanyia hayo mabaya. Na kuna wanaosema tu, nimejisikia kuomba msamaha ama kuona kama kuna kitu nilikukosea!!! Kwahiyo huwa natulia tu, nikiona mtu ananichokonoa namuangalia najua kitamlamba muda si mrefu.
Kumbe wema wapo, ubarikiweHakuna mkamilifu, nakosea na huwa naomba samahani nikijua nimekosea mimi. Kuna mazuri na mabaya maishani. Ila huwa naogopa kumfanya mtu aumie sana na kulia. Sababu najua maumivu yake, mimi mtu nikimfanya ajisikie wa thamani, mwenye furaha ndiyo kitu napenda. Ila usivuke Red line.
Hivyo eeh!!! Huenda kweli maana kuna mazuri pia huyapata mtu anayekaa namimi karibu na tukatendeana mema. Kuna vitu sema sitaki tu kuanika hapa, ahsante DextaNyie ndio mliozaliwa mmetanguliza miguu, mnakuwaga na nguvu ya asili.
Nilishawahi kuwa kwenye uhusiano na mwanamke wa aina yako, kiufupi hata mkiwa mmelala hiyo nguvu yako inamlinda na mpenzi/mumeo pia..Hivyo eeh!!! Huenda kweli maana kuna mazuri pia huyapata mtu anayekaa namimi karibu na tukatendeana mema. Kuna vitu sema sitaki tu kuanika hapa, ahsante Dexta
Ulijifunza kwa njia ngumu!! Kwahiyo na wewe ilikua bado kidogo uende na maji?Nilichojifunza sio kila mtu anagusika .
Kuna jirani yetu ukimjaribu basi lazima mpoteane .
Nilimfata na kumuuliza inakuaje kila anayetaka kukufanyia ubaya au anayekufanyia anapoteana
Alinijibu kuwa hiyo hata yeye hajui na wamezikwa watu wengi na kupoteana tangia zamani.
Mimi mwenyewe najiuliza hii ni nguvu ya aina gani? Kila anayekujaribu anapoteana?.
Huyo ukimuonea kinakulamba chapComment kama hizi