Kwenye haya Maisha kuna watu ni untouchable , hii nimejifunza kwa njia ngumu.

Kwenye haya Maisha kuna watu ni untouchable , hii nimejifunza kwa njia ngumu.

Maelezo yako hayajitoshelezi hata kidogo.
Unaenda kumuuliza mtu swali kama Hilo kwa lengo gani
 
Hakuna mkamilifu, nakosea na huwa naomba samahani nikijua nimekosea mimi. Kuna mazuri na mabaya maishani. Ila huwa naogopa kumfanya mtu aumie sana na kulia. Sababu najua maumivu yake, mimi mtu nikimfanya ajisikie wa thamani, mwenye furaha ndiyo kitu napenda. Ila usivuke Red line.
You look humble
 
Binafsi Mimi siamini katika nguvu za Giza namuamini Mungu sana.

Ila kitu Ambacho nimewahi kujifunza Mimi MTU akinifanyia jambo baya huwa namsamehe na muombea Amani , kwakuwa Mimi huwa najitahidi kuishi bila kumuumiza MTU

Ila kama mnavyojua Binadamu unaweza kuwa Mwema na kujizuia kuingia katika migogoro Ila bado watu wabaya wakajaribu kukuingilia katika mipaka yako.

Hivyo Mimi sio rahisi mtu aniingilie kwa nia mbaya na abaki salama na huu sio uchawi ni mambo ya Asili tu.

Naweza kusema Mungu anatulinda au anatupambania au vyovyote vile .

Hii kitu anayo mzee Wangu pia.

Ila kuna tetesi wakati tunazaliwa Bibi yetu RIP alikuwa kuna tamaduni anazifanya ili kutulinda na kuishi maisha mazuri hapa duniani .

Hizi ni tetesi Ila nasikia yule bibi alikuwa ni untouchable
 
Hakuna mkamilifu, nakosea na huwa naomba samahani nikijua nimekosea mimi. Kuna mazuri na mabaya maishani. Ila huwa naogopa kumfanya mtu aumie sana na kulia. Sababu najua maumivu yake, mimi mtu nikimfanya ajisikie wa thamani, mwenye furaha ndiyo kitu napenda. Ila usivuke Red line.
Mbona mimi uliniliza?
 
Umeona basi unajua na umekutana na wa aina hii. Utanifanya nimwage mchele kwenye kuku wengi 😅😅😅😅 ukiona hadi mtu anakiri kuwa una nyota kali sana. Toka umekuwa kwenye maisha yangu, kila nachogusa kinaenda, zaidi hata kilivyotakiwa kuwa 🙌🙌🙌🙌🙌
Ninyi watu wa hivi kila mnalogusa huwa linaenda ama sijaelewa.

Maana hata mimi kwa historia yangu wengi walionikosea kwa kiwango kile cha kuniharibia maisha yangu, huwa hawana mwisho mzuri na hata wengine hunitafuta na kuomba amani na mimi LAKINI haimaanishi kuwa na mimi huwa nafanikisha mambo yangu kiurahisi hapana kuna wakati unapitia msoto hadi unasema eeeh kweli ni kama dunia imeamua kuninyoosha vile. Nguvu hii ninayo ila nacho kiamini kwangu ni nguvu ya kupanda na kuvuna.

Afu hii si kwa mtu binafsi tu ngoja nikupe mkasa mmoja; kuna taasisi fulani nilifanyia kazi baada ya muda zikaanza ma fitina kiwango cha kukosa amani na kazi basi nikaona isiwe kesi nikawaachia ofisi yao, nikajiuzulu ndani ya masaa 24, huwezi amin hazikupita miezi mitatu ofisi ikaharibikiwa, wateja wakawakimbia, ofisi ikaanza kupunguza wafanya kazi, kibaya zaidi yule aliyenifanyia fitina hakupunguzwa ila alitumbuliwa tena kwa aibu sana, imagine mtu unaingia kazini kuendelea na majukumu yako huna hili wala lile unakutana na barua ya kuachishwa kazi, mlinzi anaitwa akusindikize ukakabidhi mali za ofisi immediately jamaa akawasha kompyuta aweke flash ahamishe document zake alizokuwa amehifadhi, anaingiza password kumbe walishamnyima access bila yeye kujua anaomba wamruhusu achukue ahamishe vitu vyake wanamwambia ni oda kutoka makao makuu sisi hatuna uwezo wa kuifungua. Unaambiwa jama alianza kutoka jasho kwenye upara wake na ukizingatia ofisi ilikuwa full kipupwe, wambea hawakawii wakanipa taarifa hizo huku wakiwa na furaha ya ajabu. Nikajisemea ofisini hakuna rafiki ni kuishi kinafiki tu.
 
Baba angu mzazi ( R. I. P) alikuwa na hiyo nguvu pia.
Sisi kwenye ukoo wetu huwa hatuibiwi, haturogwi wala kudhulumiwa.
Sasa mkuu kama mnaishi ushuani mtaibiwaje na kurogwa?
Wezi na wachawi wanapatikana sehemu zenye jamii masikini wa Elimu na kipato.
 
Nilichojifunza sio kila mtu anagusika .

Kuna jirani yetu ukimjaribu basi lazima mpoteane .

Nilimfata na kumuuliza inakuaje kila anayetaka kukufanyia ubaya au anayekufanyia anapoteana

Alinijibu kuwa hiyo hata yeye hajui na wamezikwa watu wengi na kupoteana tangia zamani.

Mimi mwenyewe najiuliza hii ni nguvu ya aina gani? Kila anayekujaribu anapoteana?.
'Kupoteana' ndiyo kufanyaje?
Ni kupotea au kudhurika au ni kufanyaje?
 
Nilichojifunza sio kila mtu anagusika .

Kuna jirani yetu ukimjaribu basi lazima mpoteane .

Nilimfata na kumuuliza inakuaje kila anayetaka kukufanyia ubaya au anayekufanyia anapoteana

Alinijibu kuwa hiyo hata yeye hajui na wamezikwa watu wengi na kupoteana tangia zamani.

Mimi mwenyewe najiuliza hii ni nguvu ya aina gani? Kila anayekujaribu anapoteana?.
'Kupoteana' ndiyo kufanyaje?
Ni kupotea au kudhurika au ni kufanyaje?
 
Si wengine Vijukuu wa Isaka na yakobo Mafile yetu uko Mbinguni yapo juu juu hatuna mawaa tukilia kidgo tu baya lazima likukute
 
Nilichojifunza sio kila mtu anagusika .

Kuna jirani yetu ukimjaribu basi lazima mpoteane .

Nilimfata na kumuuliza inakuaje kila anayetaka kukufanyia ubaya au anayekufanyia anapoteana

Alinijibu kuwa hiyo hata yeye hajui na wamezikwa watu wengi na kupoteana tangia zamani.

Mimi mwenyewe najiuliza hii ni nguvu ya aina gani? Kila anayekujaribu anapoteana?.
Kupoteana ndio kufanyaje
 
Back
Top Bottom