chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Kuna kitu kinaitwa mizimwi ya kwenu kama sio serikali kubwa ya mizimu kama ccm basi uwezi kumudu hayaSo hizi nguvu ni za kichawi ?
Au kuna watu wamezaliwa na ulinzi hawaingiliki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu kinaitwa mizimwi ya kwenu kama sio serikali kubwa ya mizimu kama ccm basi uwezi kumudu hayaSo hizi nguvu ni za kichawi ?
Au kuna watu wamezaliwa na ulinzi hawaingiliki
Jamaa lichawi lilienda kurogaMbona hujaeleza kwa kina wewe binafsi ulitaka kumjaribu kwa namna ipi?
Na vip walokuumiza moyo? 😂😂😂Mimi ukinitendea mabaya yale ya kuuma, nikalia aisee kufa hufi ila cha moto utakiona. Sikuwa najua ila wenyewe wamekuwa wanarudi kuomba msamaha, kama kuna sehemu walinikosea!!!
Nina mengi ya kueleza ila watu yanawapata hivi, na ukiuliza mbona unataka nikusamehe kuna nini? Kuna wanaoelezea yaliyowakuta baada ya kunifanyia hayo mabaya. Na kuna wanaosema tu, nimejisikia kuomba msamaha ama kuona kama kuna kitu nilikukosea!!! Kwahiyo huwa natulia tu, nikiona mtu ananichokonoa namuangalia najua kitamlamba muda si mrefu.
AiseeMimi ukinitendea mabaya yale ya kuuma, nikalia aisee kufa hufi ila cha moto utakiona. Sikuwa najua ila wenyewe wamekuwa wanarudi kuomba msamaha, kama kuna sehemu walinikosea!!!
Nina mengi ya kueleza ila watu yanawapata hivi, na ukiuliza mbona unataka nikusamehe kuna nini? Kuna wanaoelezea yaliyowakuta baada ya kunifanyia hayo mabaya. Na kuna wanaosema tu, nimejisikia kuomba msamaha ama kuona kama kuna kitu nilikukosea!!! Kwahiyo huwa natulia tu, nikiona mtu ananichokonoa namuangalia najua kitamlamba muda si mrefu.
Hii sio story Mkuu, Mimi nilifukuzwa kazi mwaka 2013,Meneja na baadhi ya wafanyakazi walitoa ushahidi wa kunikandamiza!Baada ya hapo,walianza kufa, Mmoja mmoja!Kuna mmoja alinitafuta na kuniambia alikosea sana kunitolea ushahidi,Huyu yupo hadi Sasa.Ni Mungu tuu anayejua Sina ushirikina kabisa,Wala sio mcha Mungu sana,ila nimesaidia watu wengi sana.Nilichojifunza sio kila mtu anagusika .
Kuna jirani yetu ukimjaribu basi lazima mpoteane .
Nilimfata na kumuuliza inakuaje kila anayetaka kukufanyia ubaya au anayekufanyia anapoteana
Alinijibu kuwa hiyo hata yeye hajui na wamezikwa watu wengi na kupoteana tangia zamani.
Mimi mwenyewe najiuliza hii ni nguvu ya aina gani? Kila anayekujaribu anapoteana?.
Hee usiombe kinarudi kwa mtu anayempenda kwenye familia au kwake. Mmoja alilia na kupiga magoti kwa aliyotenda. Maana dada yake ndiyo alitendewa vilevile. Nilimsamaehe na yakaisha pia kwao.Na vip walokuumiza moyo? 😂😂😂
Comment kama hiziHuyo jirani yako sio tundulisu kweli?
Mbaya tuu, mazuri?!Situmii chochote ila nikimwambia mtu au kumuwazia baya basi anza kuhesabu masaa ,siku,mwezi,mwaka mda wowote