Hajakuambia tu, anajua vizuri. However watu huwa wana siriNilichojifunza sio kila mtu anagusika .
Kuna jirani yetu ukimjaribu basi lazima mpoteane .
Nilimfata na kumuuliza inakuaje kila anayetaka kukufanyia ubaya au anayekufanyia anapoteana
Alinijibu kuwa hiyo hata yeye hajui na wamezikwa watu wengi na kupoteana tangia zamani.
Mimi mwenyewe najiuliza hii ni nguvu ya aina gani? Kila anayekujaribu anapoteana?.
Kuna mapolisi pale ostabey wengi ya mesha wakuta katika hizo mbiliDuh!
Mshenzi sana yule. Alinijaribu na timu yake.Alikujaribu ?
Situmii chochote ila nikimwambia mtu au kumuwazia baya basi anza kuhesabu masaa ,siku,mwezi,mwaka mda wowoteSo hii kwako ni natural au unatumia Ndumba?