Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Aisee, huko kichwani una kitu kweli? Kwakuwa wengi wanafanya basi linafanya jambo hilo kuwa sahihi/halali? Kiongozi/bosi wake anatakiwa kuwasiliana hivyo na mtu wa chini yake tena worse publicly?

Unahitaji kujielimisha na kuelimisha wote kukomesha vitendo hivi sio tu kwa wanawake bali hata wanaume, kila mtu ana haki ya kuwa treated with respect
 
Aisee, huko kichwani una kitu kweli? Kwakuwa wengi wanafanya basi linafanya jambo hilo kuwa sahihi/halali? Kiongozi/bosi wake anatakiwa kuwasiliana hivyo na mtu wa chini yake tena worse publicly?

Unahitaji kujielimisha na kuelimisha wote kukomesha vitendo hivi sio tu kwa wanawake bali hata wanaume, kila mtu ana haki ya kuwa treated with respect
Onesha kosa la Makonda hapo?
 
Onesha kosa la Makonda hapo?
Hakutakiwa kuingiza mambo mambo binfasi wakati anamuelekaza, kumwabia haoingei na mchumba wake, sijui hayupo kwenye kitchen party, mara yeye ana mke mzuri nyumbani.... hapo tayari ame insinuate kuwa huyu manakamati anamtaka na anamtongoza na sio ku address alichoulizwa, kwenye kitchen party kuna mambo ya kijinga na kishenzi hivyo asiyalete hapo, kuongelea habari za mahusiano na mke wake ambazo ni maisha yake personal, yeye ni mbaya hana muonekano muzri... kwa kuelezea machache

Angekuwa hamsikii angemwambia sauti yake haisikiki aongeze, na sio kuanza kudive kwenye mambo personal au ku attack muonekano wake.

Amezembea mwadabishe lakini isivuke mipaka mpaka kumdhalilisha mtu au kumuonea kwasababu tu una mamlaka
 
Hakutakiwa kuingiza mambo mambo binfasi wakati anamuelekaza, kumwabia haoingei na mchumba wake, sijui hayupo kwenye kitchen party, mara yeye ana mke mzuri nyumbani.... hapo tayari ame insinuate kuwa huyu manakamati anamtaka na anamtongoza na sio ku address alichoulizwa, kwenye kitchen party kuna mambo ya kijinga na kishenzi hivyo asiyalete hapo, kuongelea habari za mahusiano na mke wake ambazo ni maisha yake personal, yeye ni mbaya hana muonekano muzri... kwa kuelezea machache

Angekuwa hamsikii angemwambia sauti yake haisikiki aongeze, na sio kuanza kudive kwenye mambo personal au ku attack muonekano wake
Rc alichomanisha ni kuwa aongee serious na aweke manani sio mambo ya utani utani na sababu nyepesi nyepesi kama za mapenzi.
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Makonda hasafishika kamwe, mnajichoosha bure maana la kuvunda halina ubani
 
Back
Top Bottom