Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tupo pamoja na LisuTunakushukuru Mkuu Lissu kwa kuendelea kutoa Elimu ya Uraia,hasa kipengele cha KATIBA kwa mifano HAI na LUGHA rahisi kabisa...BARIKIWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo pamoja na LisuTunakushukuru Mkuu Lissu kwa kuendelea kutoa Elimu ya Uraia,hasa kipengele cha KATIBA kwa mifano HAI na LUGHA rahisi kabisa...BARIKIWA
Ametusaidia snsiku mbili tu hizi zimetoa ujumbe, na chadema wameshajua nini watanganyika wanahitaji kusikia.
Well saidWell said.
CCM wamezoea kuendesha mambo kienyeji sana. Kwa katiba hii anaweza tokea Mzanzibar mjeuri akaukwaa urais wa JMT akaiuza Dar yote na hakutakuwa na wa kumfanya kitu.
Tusiamini kuwa kila siku tutakuwa na rais wa JMT toka Zanzibar atakayekuwa na huruma na Tanganyika kama Samia au Mwinyi. Kwangu mimi Mwinyi na Samia (ambapo mmoja aliuza Loliondo na mwingine Bandari/Ngorongoro) nawaona wapole sana bado Samia anaweza kuuza hata Selous yote na hakuna kitu mtamfanya.
Turekebishe hii hali kabla mambo hayajawa mabaya zaidi
Narudia tena kusema. Huu muungano Nyerere alifanya kosa kubwa sana la kihistoria. Ilitakiwa iwe nchi moja tu. Naamin muda si mrefu hili kosa litafutwa kama alivyofanya India pale cashmir. Hicho kinchi kinatakiwa kuwa mkoa basi.Kuna watu wanajaribu kuchukulia kauli za Lissu kukerwa na aina hii ya muungano kuwa eti anajaribi kuleta mgawanyiko wa Utanganyika na Uzanzibari.
Kiukweli kabisa kama ukifuatilia miongoni mwa watu waliojaribu kuwatetea Wazanzibari dhidi ya muungano huu ni Tundu Lissu. Lissu amekuwa consistent kwa muda mrefu kuwa muungano huu unawaumiza Wazanzibari sana, na kwamba Zanzibar imepoteza mengi kutokana na muundo huu wa muungano. Amefanya hivyo katika mijadala na hata katika mikutano ya hadhara. Nakumbuka amewahi kufanya mkutano mkubwa sana kule Zanzibar akieleza ni kwa namna gani muungano huu unavyowaumiza Wazanzibari.
Leo Lissu ameanza kuzungumza pia namna muungano unavyowaumiza Watanganyika, kuna watu wanatoka huko mbiombio kutaka kumnyamazisha!. Yaani Lissu akitetea wazanzibari hiyo inakuwa sawa, lakini akitetea Watanganyika hiyo inakuwa nongwa!. Kwa nini?
Ukimsikiliza Lissu kwa makini hana Tatizo na Uzanzibari wa Samia kama mtu ila ana tatizo na muundo wa muungano unaomfanya Mtu ale "kotekote" with impunity huku maslahi ya upande mmoja ( Wa Zanzibar yakilindwa kwa katiba yao) huku maslahi ya Tanganyika yakiwa hayana mtetezi (Kikatiba).
Leo inakuwaje Rais kutoka upande mmoja wa muungano anakuwa na mamlaka kwa mambo ya upande wa pili wa muungano ambayo siyo ya muungano?. Utalii siyo Jambo la muungano, iweje Mzanzibari awe na power ya kuwaamulia Watanganyika mambo yao ya utalii lakini mtanganyika hana power hizo kwa Zanzibar?
Leo tuna katiba ya Zanzibar, inayopingana hata na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mambo kedekede na hayo mambo yako wazi na yanajulikana na yako documented lakini watu wazima wamekaa kimya wanajifanya hawayaoni. Leo akitokea mtu kama Lissu akashikia bango mapungufu haya ili yaondolewe inabidi apongezwe siyo kubezwa!.
Katiba ya Zanzibar inasema Kutakuwa na "Mzanzibari" na imeorodhosha mzanzibari ni nani. Sasa Tujiulize Mzanzibari akishika madaraka ya Muungano kisha maslahi ya Zanzibar yakagongana na Maslahi ya Tanganyika katika mambo yasiyo ya Muungano yeye atatetea maslahi ya wapi?
Na katiba ya Zanzibar ikaenda mbele kusema kuwa Zanzibar ni nchi miongoni mwa nchi mbili ZINAZOUNDA jamhuri ya muungano wa Tanzania, Pigia msitari neno ZINAZOUNDA siyo ZILIZOUNDA, Sasa hiyo nchi nyingine inayounda muungano na Zanzibar iko wapi na kiongozi wake ni nani na watu wake ni akina nani?.
Hoja ya Lissu siyo Uzanzibari wa Samia. Hoja ya Lissu ni muundo mbovu wa Muungano. Uraisi wa Samia ni mfano tu kuonyesha muundo huo ulivyo na tatizo.
Ni mpaka tukae chini tusolve hili tatizo, la sivyo huko tuendako ni shida tu. Ndiyo maana leo Kuna Wazanzibari wanataka Watanganyika waende Zanzibar na Passport. Na mimi sioni shida Wazanzibar wakija Tanganyika kwa passport.
Lissu ni mtu ya Mungu sanaKuna watu wanajaribu kuchukulia kauli za Lissu kukerwa na aina hii ya muungano kuwa eti anajaribi kuleta mgawanyiko wa Utanganyika na Uzanzibari.
Kiukweli kabisa kama ukifuatilia miongoni mwa watu waliojaribu kuwatetea Wazanzibari dhidi ya muungano huu ni Tundu Lissu. Lissu amekuwa consistent kwa muda mrefu kuwa muungano huu unawaumiza Wazanzibari sana, na kwamba Zanzibar imepoteza mengi kutokana na muundo huu wa muungano. Amefanya hivyo katika mijadala na hata katika mikutano ya hadhara. Nakumbuka amewahi kufanya mkutano mkubwa sana kule Zanzibar akieleza ni kwa namna gani muungano huu unavyowaumiza Wazanzibari.
Leo Lissu ameanza kuzungumza pia namna muungano unavyowaumiza Watanganyika, kuna watu wanatoka huko mbiombio kutaka kumnyamazisha!. Yaani Lissu akitetea wazanzibari hiyo inakuwa sawa, lakini akitetea Watanganyika hiyo inakuwa nongwa!. Kwa nini?
Ukimsikiliza Lissu kwa makini hana Tatizo na Uzanzibari wa Samia kama mtu ila ana tatizo na muundo wa muungano unaomfanya Mtu ale "kotekote" with impunity huku maslahi ya upande mmoja ( Wa Zanzibar yakilindwa kwa katiba yao) huku maslahi ya Tanganyika yakiwa hayana mtetezi (Kikatiba).
Leo inakuwaje Rais kutoka upande mmoja wa muungano anakuwa na mamlaka kwa mambo ya upande wa pili wa muungano ambayo siyo ya muungano?. Utalii siyo Jambo la muungano, iweje Mzanzibari awe na power ya kuwaamulia Watanganyika mambo yao ya utalii lakini mtanganyika hana power hizo kwa Zanzibar?
Leo tuna katiba ya Zanzibar, inayopingana hata na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mambo kedekede na hayo mambo yako wazi na yanajulikana na yako documented lakini watu wazima wamekaa kimya wanajifanya hawayaoni. Leo akitokea mtu kama Lissu akashikia bango mapungufu haya ili yaondolewe inabidi apongezwe siyo kubezwa!.
Katiba ya Zanzibar inasema Kutakuwa na "Mzanzibari" na imeorodhosha mzanzibari ni nani. Sasa Tujiulize Mzanzibari akishika madaraka ya Muungano kisha maslahi ya Zanzibar yakagongana na Maslahi ya Tanganyika katika mambo yasiyo ya Muungano yeye atatetea maslahi ya wapi?
Na katiba ya Zanzibar ikaenda mbele kusema kuwa Zanzibar ni nchi miongoni mwa nchi mbili ZINAZOUNDA jamhuri ya muungano wa Tanzania, Pigia msitari neno ZINAZOUNDA siyo ZILIZOUNDA, Sasa hiyo nchi nyingine inayounda muungano na Zanzibar iko wapi na kiongozi wake ni nani na watu wake ni akina nani?.
Hoja ya Lissu siyo Uzanzibari wa Samia. Hoja ya Lissu ni muundo mbovu wa Muungano. Uraisi wa Samia ni mfano tu kuonyesha muundo huo ulivyo na tatizo.
Ni mpaka tukae chini tusolve hili tatizo, la sivyo huko tuendako ni shida tu. Ndiyo maana leo Kuna Wazanzibari wanataka Watanganyika waende Zanzibar na Passport. Na mimi sioni shida Wazanzibar wakija Tanganyika kwa passport.
Tatizo jingine ni kuwa Wazanzibari kwa kuwa sasa hivi mzanzibari mwenzao ndo anatawala Tanzania, wamekaa kimya, kelele za madai yao ya kutaka Zanzibar huru wameyapunguza ili wasimkwaze mwenzao kwenye kutawala ILA siku akiingia Mtanganyika Ikulu ndo utaanza kusikia kwa wingi kelele za Watanganyika wanatubana watuache tupumue!
Huu Muungano unahitaji marekebisho makubwa sana
Narudia tena kusema. Huu muungano Nyerere alifanya kosa kubwa sana la kihistoria. Ilitakiwa iwe nchi moja tu. Naamin muda si mrefu hili kosa litafutwa kama alivyofanya India pale cashmir. Hicho kinchi kinatakiwa kuwa mkoa basi.
Selection ya ajira ndio mmejua leo mbona kitambo sanaCHADEMA kama wana akili, hii ndio ticket yao ya kuwin mioyo ya watanganyika. nimeangalia twitter, aisee, watanganyika walikuwa na mengi moyoni.
View attachment 2978446
Kwan wakolon walikuwa na shida gan ambayo leo haipo. TufafanulieUnasikitisha sana, Halafu nawewe pia unawezakuta unalalamikia wakoloni walituonea wakati mindset yako haina tofauti na walivyokuwa wao.
Shida ni moja wachumia tumbo ukigusa maslahi Yao tu unaonekana mbayaKuna watu wanajaribu kuchukulia kauli za Lissu kukerwa na aina hii ya muungano kuwa eti anajaribi kuleta mgawanyiko wa Utanganyika na Uzanzibari.
Kiukweli kabisa kama ukifuatilia miongoni mwa watu waliojaribu kuwatetea Wazanzibari dhidi ya muungano huu ni Tundu Lissu. Lissu amekuwa consistent kwa muda mrefu kuwa muungano huu unawaumiza Wazanzibari sana, na kwamba Zanzibar imepoteza mengi kutokana na muundo huu wa muungano. Amefanya hivyo katika mijadala na hata katika mikutano ya hadhara. Nakumbuka amewahi kufanya mkutano mkubwa sana kule Zanzibar akieleza ni kwa namna gani muungano huu unavyowaumiza Wazanzibari.
Leo Lissu ameanza kuzungumza pia namna muungano unavyowaumiza Watanganyika, kuna watu wanatoka huko mbiombio kutaka kumnyamazisha!. Yaani Lissu akitetea wazanzibari hiyo inakuwa sawa, lakini akitetea Watanganyika hiyo inakuwa nongwa!. Kwa nini?
Ukimsikiliza Lissu kwa makini hana Tatizo na Uzanzibari wa Samia kama mtu ila ana tatizo na muundo wa muungano unaomfanya Mtu ale "kotekote" with impunity huku maslahi ya upande mmoja ( Wa Zanzibar yakilindwa kwa katiba yao) huku maslahi ya Tanganyika yakiwa hayana mtetezi (Kikatiba).
Leo inakuwaje Rais kutoka upande mmoja wa muungano anakuwa na mamlaka kwa mambo ya upande wa pili wa muungano ambayo siyo ya muungano?. Utalii siyo Jambo la muungano, iweje Mzanzibari awe na power ya kuwaamulia Watanganyika mambo yao ya utalii lakini mtanganyika hana power hizo kwa Zanzibar?
Leo tuna katiba ya Zanzibar, inayopingana hata na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mambo kedekede na hayo mambo yako wazi na yanajulikana na yako documented lakini watu wazima wamekaa kimya wanajifanya hawayaoni. Leo akitokea mtu kama Lissu akashikia bango mapungufu haya ili yaondolewe inabidi apongezwe siyo kubezwa!.
Katiba ya Zanzibar inasema Kutakuwa na "Mzanzibari" na imeorodhosha mzanzibari ni nani. Sasa Tujiulize Mzanzibari akishika madaraka ya Muungano kisha maslahi ya Zanzibar yakagongana na Maslahi ya Tanganyika katika mambo yasiyo ya Muungano yeye atatetea maslahi ya wapi?
Na katiba ya Zanzibar ikaenda mbele kusema kuwa Zanzibar ni nchi miongoni mwa nchi mbili ZINAZOUNDA jamhuri ya muungano wa Tanzania, Pigia msitari neno ZINAZOUNDA siyo ZILIZOUNDA, Sasa hiyo nchi nyingine inayounda muungano na Zanzibar iko wapi na kiongozi wake ni nani na watu wake ni akina nani?.
Hoja ya Lissu siyo Uzanzibari wa Samia. Hoja ya Lissu ni muundo mbovu wa Muungano. Uraisi wa Samia ni mfano tu kuonyesha muundo huo ulivyo na tatizo.
Ni mpaka tukae chini tusolve hili tatizo, la sivyo huko tuendako ni shida tu. Ndiyo maana leo Kuna Wazanzibari wanataka Watanganyika waende Zanzibar na Passport. Na mimi sioni shida Wazanzibar wakija Tanganyika kwa passport.