Mboga 7, aliua mnooo.Nilipiga goti na dua ikafika, haya maisha yangu na ww ukaridhika...... Ally kiba kwenye mboga saba ya bluu. Bonge la chorus
Juma NatureAliyeimba chorus ya mzee wa Busaraaaaa
G nako nae si haba sikia ya exo na mfalmeBenard Paulo
Juma jux
Marioo
Juma kiroboto
Gnako
Judith wambura
Stara thomas
Malkia careen
One six, nae ana balaa sana huyo jamaa... pure talent mixed with pain!Hivi na wale jamaa wa Tongwe records upande wa kina roma na stamina kwenye viitikio wapo vizuri, mfano ndoa, mkombozi,
Daah mwanangu umenitanguliaAliyeimba chorus ya mzee wa Busaraaaaa
One six huyo ni balaaHivi na wale jamaa wa Tongwe records upande wa kina roma na stamina kwenye viitikio wapo vizuri, mfano ndoa, mkombozi,