Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kasema kuhusu mwalimu,hao hawakuwa waalimuAfande chacha na marehemu miraji, makongo sec hapo ni noma kipindi hicho kama depo.
babu chacha aliwahi kumkimbiza mshkaj mmoja,mpaka kwao,alikuwa anakaa area c lugalo.na mwanae mmoja nilimaliza nae form four.marehemu miraji pamoja Na kunitengeneza sana tu nikiingia anga zake,ila alikuwa mtu mmoja poa sana,kuna siku tulikuwa tunamngoja mkaanga sumu,kwa pindi la biology practicle,tulipiga nae story sana.kazi zao walizipiga vyema,getini alikuwepo Afande jumapili(Sunday),jikoni bab side,joro Kwa Blandina...Afande chacha na marehemu miraji, makongo sec hapo ni noma kipindi hicho kama depo.
msoka snichi sana yule jamaa hivi sasa hivi amenenepa hata??? coz alikua snichi sana enzi zetu 2003-2000 hukoMr msoka(Mali hai) ndani ya Lyamungo High School-Kilimanjaro(2012-2014)
Ha ha hayani umefungua thread haina swala la kugegedana?
mwaka gani?Mwalimu Massawe kibega.
Shule ya msingi Tandale.
Mwalimu Mang'onda alinifundisha science Kilimo Kibasila. Nasikia amekufa. R.I.PMiaka fulani KIBASILA P/S -Teacher Mang'onda.
Miaka fulani Thaqafa S/S (Maarifa) Teacher Makelele
Tajeni na wengine.....
Nilimaliza pale 1994.mwaka gani?
hivi bado yupo kweli?Nilimaliza pale 1994.
Hahaahaaa mkuuu ulipita pale nini?.hivi bado yupo kweli?
Kwa akina Wolfram MlelwaMwalimu chilewa mpitimbi primary school SÖNGEA huko