Kwenye kila shule kuna yule Mwalimu mnoko shuleni kwenu alikuwa anaitwa nani?

Kwenye kila shule kuna yule Mwalimu mnoko shuleni kwenu alikuwa anaitwa nani?

Afande chacha na marehemu miraji, makongo sec hapo ni noma kipindi hicho kama depo.
babu chacha aliwahi kumkimbiza mshkaj mmoja,mpaka kwao,alikuwa anakaa area c lugalo.na mwanae mmoja nilimaliza nae form four.marehemu miraji pamoja Na kunitengeneza sana tu nikiingia anga zake,ila alikuwa mtu mmoja poa sana,kuna siku tulikuwa tunamngoja mkaanga sumu,kwa pindi la biology practicle,tulipiga nae story sana.kazi zao walizipiga vyema,getini alikuwepo Afande jumapili(Sunday),jikoni bab side,joro Kwa Blandina...
upande wa waalimu wajeda karibu wote walikuwa wababe,wakiongozwa Na kisarika,aliwahi mchota mtama dada mmoja,form one hiyo,parade pale.mwingine ni master,mzee wa kuibeba dunia..maundi Mzee wa nyundo za kichwa
 
Miaka fulani KIBASILA P/S -Teacher Mang'onda.

Miaka fulani Thaqafa S/S (Maarifa) Teacher Makelele


Tajeni na wengine.....
 
Back
Top Bottom