Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah uyo ndaymkama alikuwa mnoko ila masemere bakora zake si mchezo aisee.Happo humkosi Ndyamukama, Mkisi na Masemere pande za Jitegemeee ilikuwa mtiti.
Uyuuu mzee yupooo....Umemsahau mtokambali
Zero IQ tutajie na aliyekuwa mnoko shuleni kwako Mkuu!Kwenye kila shule kuna yule mwalimu mnokoo, shuleni kwenu alikuwa anaitwa nani!?
Mtaje.
Cc Zero IQ
Hakua mnoko alinyosha wanafunzi sana, alikua na uwezo wa kukariri sauti za wanafunzi mno, kiasi kwamba akiwa anaandika ukiongea utasikia wewe Edwin nyamaza!!Hahahaaa na hapo hajageuka mkuuMWL SABUNI aka SOAP.. shule ya msingi Kilimanjaro miaka ya1990's mpaka 2010"s
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hakua mnoko alishoosha wanafunzi sana, alikua na uwezo wa kukariri sauti za wanafunzi mno, kiasi kwamba akiwa anaandika ukiongea utasikia wewe Edwin nyamaza!!Hahahaaa na hapo hajageuka mkuu
Dah hawa nawakumbuka miaka ya 2003Afande chacha na marehemu miraji, makongo sec hapo ni noma kipindi hicho kama depo.