Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ulipita pale mid au?Mwalimu Masebo hapo hapo midlands mwaka 2007/2008
Wewe utakua Dikson Gaile, au Tall wa Gwanta , mlikuwa mnamtingisha mzee SangaMr msoka(Mali hai) ndani ya Lyamungo High School-Kilimanjaro(2012-2014)
Walimshinda KOMBAHA?
[/QUOTE
hapo nimeongelea walimu wanajeshi,marehemu kombaha alikuwa na mikwara mingi,alitupiga mkwara huo,kila mtu alinunua kitabu chake cha kifaransa tukiwa form one,ingawa hakuwahi kunifundisha...
Hahahaa....... Chodota!Kwenye kila shule kuna yule mwalimu mnokoo, shuleni kwenu alikuwa anaitwa nani!?
Mtaje.
Cc Zero IQ
alikuwa anajiita "mwana wa adam'',kanifundisha Yule jamaa,alikuwa anatembeza sana bakora aisee.aliwahi nipata mara moja tu Kwa kosa dogo sana la kutotumia tree diagram kwenye propability.Umemsahau malongoli na sauti lake lile ndio mana wakawa wanamtuma aje kudai ada ha ha ha ha ha jamaa ana bonge la mwili
huyu jamaa mara ya mwisho alikuwa anafundisha physics advanced level,makongo.na jina lake halisi sikuwahi kupiga hamu.Mwl.Makumaku marufuku kulitaja jina lake kinyumenyume.
Nilipiga advance pale 2006/2008Mkuu ulipita pale mid au?
Mi nilikuwepopale 2005-2007
2000Umesoma mwaka gani Mimi 1996
Hahahahaha poa poa mkuu nilikuachia kiti basi mi nilikuwepo pale na nilikuwa hostel (boarding)Nilipiga advance pale 2006/2008