Kwenye kila shule kuna yule Mwalimu mnoko shuleni kwenu alikuwa anaitwa nani?

Kwenye kila shule kuna yule Mwalimu mnoko shuleni kwenu alikuwa anaitwa nani?

Walimshinda KOMBAHA?
[/QUOTE
hapo nimeongelea walimu wanajeshi,marehemu kombaha alikuwa na mikwara mingi,alitupiga mkwara huo,kila mtu alinunua kitabu chake cha kifaransa tukiwa form one,ingawa hakuwahi kunifundisha...
 
Umemsahau malongoli na sauti lake lile ndio mana wakawa wanamtuma aje kudai ada ha ha ha ha ha jamaa ana bonge la mwili
alikuwa anajiita "mwana wa adam'',kanifundisha Yule jamaa,alikuwa anatembeza sana bakora aisee.aliwahi nipata mara moja tu Kwa kosa dogo sana la kutotumia tree diagram kwenye propability.
 
2002 mpaka 2003 hapo Mkolani second kuna huyo jomba tulimuita Uso wa Mbuzi na mwenzie Mabaga.

2004 mpaka 2005 kuna huyo aliitwa Kitoko hapo Tarime sec eeeeh!

Nb kama umesoma shule hizo sitaki uje pm kuniuliza ili unifahamu
 
primary Mananga ila baadae alikuja kuwa rafiki sec ni mwl Mazengo uyu ni mgogo ila hii leo ninavyomuona Ndungai ndo naona kuwa ni tabia za wagogo..awa wagogo ni tatizo sana...
 
Kuna mkuda mmoja alikua anaitwa Kitungwa pande za Magambani..au ukipenda almaarufu Bagamoyo secondary.. Jamaa alikua Kaksi sana..
 
Back
Top Bottom