Kwenye kila shule kuna yule Mwalimu mnoko shuleni kwenu alikuwa anaitwa nani?

Kwenye kila shule kuna yule Mwalimu mnoko shuleni kwenu alikuwa anaitwa nani?

ticha Joseph pale sesesco, zamu yake tulikuwa tunalimimia meno, kwa mapindi alikuwa mzuri sana, anafundisha makatalisti na malogarizim bila notisi.


akitoa test chini ya 60 ni Fimbo zisizo na idadi, anaalika staafu yote inatembeza bakora.
 
Mwalimu Masebo hapo hapo midlands mwaka 2007/2008
Mr Dengea-Njombe sec

Mr Komba Midlands high school, huyu komba alinikamata na simu halafu nikaitupa km jiwe kwenye majani kisha nikamkana sina simu aisee alishindwa kuamini macho yake
Akataka kunichapa bakora nikamgomea akasalimu amri


Siku nyingine niliamua kumfanyia fujo ambayo kamwe hatoweza kusahau
Baada ya kuzidi unoko nilitafuta namba yake ya simu kwa mabinti kisha nikamtumia Tafadhali nipigie km 800 za tigo enzi hizo zilikuwa hazina idadi na mbaya zaidi km cm haipo hewani zinakaa pending ukiwasha tu zinaanza kumiminika basi kila akikaa simu yake inaingia tafadhali nipigie mpaka akanppigia simu sikupokea akatuma msg kuwa niwaambie tigo simu yangu inamtumia tafadhali nipigie ovyo,nikamuongeza zingine 400 akatupa na line..
 
Israel Mjuni Mkongo (Tambaza high school) refa wa tff pia
Hili jamaa ndo lilifanya watu tuvae suruali mabangwa shuleni huku washikaji wa aza boy wakitucheka
 
babu chacha aliwahi kumkimbiza mshkaj mmoja,mpaka kwao,alikuwa anakaa area c lugalo.na mwanae mmoja nilimaliza nae form four.marehemu miraji pamoja Na kunitengeneza sana tu nikiingia anga zake,ila alikuwa mtu mmoja poa sana,kuna siku tulikuwa tunamngoja mkaanga sumu,kwa pindi la biology practicle,tulipiga nae story sana.kazi zao walizipiga vyema,getini alikuwepo Afande jumapili(Sunday),jikoni bab side,joro Kwa Blandina...
upande wa waalimu wajeda karibu wote walikuwa wababe,wakiongozwa Na kisarika,aliwahi mchota mtama dada mmoja,form one hiyo,parade pale.mwingine ni master,mzee wa kuibeba dunia..maundi Mzee wa nyundo za kichwa
Umemsahau malongoli na sauti lake lile ndio mana wakawa wanamtuma aje kudai ada ha ha ha ha ha jamaa ana bonge la mwili
 
Hakua mnoko alinyosha wanafunzi sana, alikua na uwezo wa kukariri sauti za wanafunzi mno, kiasi kwamba akiwa anaandika ukiongea utasikia wewe Edwin nyamaza!!Hahahaaa na hapo hajageuka mkuu
sasa kama si unoko ni nini?? siku moja alinichapa bila kosa kisa kagombana na mwl MBANDO hasira kazileta darasani..
 
Mr Dengea-Njombe sec

Mr Komba Midlands high school, huyu komba alinikamata na simu halafu nikaitupa km jiwe kwenye majani kisha nikamkana sina simu aisee alishindwa kuamini macho yake
Akataka kunichapa bakora nikamgomea akasalimu amri


Siku nyingine niliamua kumfanyia fujo ambayo kamwe hatoweza kusahau
Baada ya kuzidi unoko nilitafuta namba yake ya simu kwa mabinti kisha nikamtumia Tafadhali nipigie km 800 za tigo enzi hizo zilikuwa hazina idadi na mbaya zaidi km cm haipo hewani zinakaa pending ukiwasha tu zinaanza kumiminika basi kila akikaa simu yake inaingia tafadhali nipigie mpaka akanppigia simu sikupokea akatuma msg kuwa niwaambie tigo simu yangu inamtumia tafadhali nipigie ovyo,nikamuongeza zingine 400 akatupa na line..
Da mkuu wewe ulikua mtukutu sana da nimecheka sana ukamuongeza nyingine 400
 
Back
Top Bottom