Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Unampigia simu, hapokei.
Unatuma ujumbe wa maandishi, hajibu
Hii inamaanisha nini wakuu?
Unatuma ujumbe wa maandishi, hajibu
Hii inamaanisha nini wakuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi kukubali matokeoUmeachwaa kubaliiii
Amekuacha weeee, umeachwa kubaliiii 🎼🎶
Ina maana Solve the unknown value of X in the given Equation..Unampigia simu, hapokei
Unatuma ujumbe wa maandishi, hajibu
Hii inamaanisha nini wakuu?
Mtu ukiwa bize ndio usijibu/kupokea simuYuko busy na mambo yake
Na hii naona ndio suluhisho, ingawa moyo unakuwa unatesekaFuta namba yake kama haujaikariri..,alafu uone
Inawezekana kutokujibu/kupokea ni utoto?Utoto raha sana!
Najaribu ku-solve, bado sijapata jibu tuIna maana Solve the unknown value of X in the given Equation..
Inawezekana ikawa jibu, ingawa mwanzoni tulikuwa rafiki wakawaida, baada ya kumuonyesha ishara ya uhusiano, mambo yamebadilika; amehisi hapa naenda kuliwa, kwa hiyo sarakasi zimekuwa nyingi.Umeachwaa mzee wazngu wanasema kughost
Inabidi kukaa pembeni kuepusha msongamanojimbo lishachukuliwa hilo.
DusheleleUnampigia simu, hapokei.
Unatuma ujumbe wa maandishi, hajibu
Hii inamaanisha nini wakuu?
Engaged ie yu na mwingineUnampigia simu, hapokei.
Unatuma ujumbe wa maandishi, hajibu
Hii inamaanisha nini wakuu?
Ana mchumba ila yuko mbali, nataka nionje asali tuZamani walisema..."umepigwa kibuyu"......