Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Ni kweli ana mchumba yuko mbali kidogo (miezi 3 kuonana), nataka nionje asali tuEngaged ie yu na mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli ana mchumba yuko mbali kidogo (miezi 3 kuonana), nataka nionje asali tuEngaged ie yu na mwingine
Ana mtu wake/mchumba yuko mkoa tofauti, ila macho yametokea kutamaniYupo kwa mwenzio.
Basi anajiheshimu huenda, inabidi umpe heshima yake kama ana wake anaemsubiriAna mchumba ila yuko mbali, nataka nionje asali tu
Kweli mkuu, itabidi kusitisha ushawishi wa hapa na paleBasi anajiheshimu huenda, inabidi umpe heshima yake kama ana wake anaemsubiri
Tafuta mwingine tu mkuu hata uoe wengi ni bora zaidi Dunia ya mapito hii
Hii maana yake chapalapa yaan tembea hata usigeuze shingo nyuma ushachezea za uso uliingia kwenye mahusiano na Kahaba mda unaomcheck anatoa hudumaUnampigia simu, hapokei.
Unatuma ujumbe wa maandishi, hajibu
Hii inamaanisha nini wakuu?
Hiyo ni dhambi...onja kwingine.Ana mchumba ila yuko mbali, nataka nionje asali tu
Bado haujasema...Unampigia simu, hapokei.
Unatuma ujumbe wa maandishi, hajibu
Hii inamaanisha nini wakuu?
Kuanza kuumiza kichwa kisa mtu hajapokea simu ndo utoto wenyewe,mtu hajibu wala kupokea simu si ufute namba?Inawezekana kutokujibu/kupokea ni utoto?
EWaaInabidi kukaa pembeni kuepusha msongamano
Anaongea hadi kispanishBado haujasema...
HahahaaAkiona sms au call yako anakasirika na anajisemea mwenyewe aaaarrrrrrrghhhhh! Mijitu mingine king'ang'anizi hadi kero! Kusoma halijui hadi picha halioni.....kenge kweli hili fala! Anakuignoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hivyo mkuu, ila moyo ulishindwa kusukuma damu na ukaanza kupendaHiyo ni dhambi...onja kwingine.
ha ha haAkiona sms au call yako anakasirika na anajisemea mwenyewe aaaarrrrrrrghhhhh! Mijitu mingine king'ang'anizi hadi kero! Kusoma halijui hadi picha halioni.....kenge kweli hili fala! Anakuignoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ndio suluhishoTafuta mwingine haraka
Wengine wanapenda mpaka uwahangaikie ili wasionekane warahisiKuanza kuumiza kichwa kisa mtu hajapokea simu ndo utoto wenyewe,mtu hajibu wala kupokea simu si ufute namba?