Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #81
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna hela watu hawana shida yakula chipsi yai ,au nguo watu wanataka marange ,nyumba za kuishi sio unaleta mbamba zakoHela ya kununua nini 😀 😀
Sio wa mazishi, ukipata nafasi usikilize youtubeSiijui mkuu! Ila najua ni ngoma za mazishi za wenzetu wakristo
Ushachokwa huambiwi Jipongeze na wweUnampigia simu, hapokei.
Unatuma ujumbe wa maandishi, hajibu
Hii inamaanisha nini wakuu?
UnemuwezaWewe ni mzee wa hovyoo hata ueleweshwe nikazi bure
Sina huo muda mimi... wacha niendelee kui-set mbususu ya ki-Asia hapaSio wa mazishi, ukipata nafasi usikilize youtube
Sasa kama wazazi wako wameshindwa kukununulia, ndio uje unibebeshe mzigo usiobebeka?Huna hela watu hawana shida yakula chipsi yai ,au nguo watu wanataka marange ,nyumba za kuishi sio unaleta mbamba zako
🥺🥺🥺🙄Nipe konektion hiyo bhn😄Sina huo muda mimi... wacha niendelee kui-set mbususu ya ki-Asia hapa
😄😄😄😂👠👠Mpe itamfaaSasa kama wazazi wako wameshindwa kukununulia, ndio uje unibebeshe mzigo usiobebeka?
Tatizo mjukuu wangu, unavizia hela zangu za urithi na kiinua mgongo 😀 😀Wewe ni mzee wa hovyoo hata ueleweshwe nikazi bure
Mpe tu zitamfaaTatizo mjukuu wangu, unavizia hela zangu za urithi na kiinua mgongo 😀 😀
Kwa ile shombe shombe, ngoja tu ning'ang'anie tu; hakuna namnaUshachokwa huambiwi Jipongeze na wwe
Kaza kishundu ivoivo atakuelewa tu mwenetu😎Kwa ile shombe shombe, ngoja tu ning'ang'anie tu; hakuna namna
Komaa sasa! [emoji848]
Mimi mwenyewe nna single maza la kihindi na kiarabuarabu nalifukuzia..., linauza duka Postal.
Nali-set hapa najifanya kujali... mara ooh! Pole na kazi, umeamkaje, mtoto anaendeleaje....
najifanya najali lijae kwenye line nikalilambe asali. Naamini kitatiki maana tunaenda sawa.
Nakuombea mwanangu equation na wewe kitiki! Tuseme aameen! [emoji23][emoji1487][emoji1474]
Basi hata wajukuu zako wanakuzidi akili
Huyu ni binti wa mjini, ananyemelea wazee tu 😀😄😄😄😂👠👠Mpe itamfaa
🙄🙄🙄Sasa mimi kuweza Wacha Sheria za mikono zichukue nafasi 😂Huna hela watu hawana shida yakula chipsi yai ,au nguo watu wanataka marange ,nyumba za kuishi sio unaleta mbamba zako
Duh izo February atazikumbukaHuyu ni binti wa mjini, ananyemelea wazee tu 😀
Hueleweki tulia aisee jomba🙄🙄🙄Sasa mimi kuweza Wacha Sheria za mikono zichukue nafasi 😂