Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #61
Kwa hiyo unanishauri vipi, nikaze buti?Haina maan yoyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unanishauri vipi, nikaze buti?Haina maan yoyote
Ndio akimaliza mambo yake atakurudia kuwa mvumilivuMtu ukiwa bize ndio usijibu/kupokea simu
Nipo mkuu maisha tu yananificha hapa na pale.We cute umepotea sana
Kulikonii mamake
Jibu alilokuja kutoa, anaheshimu mahusiano yake na pia anaheshimu mahusiano yanguNdio akimaliza mambo yake atakurudia kuwa mvumilivu
Hata wewe[emoji1787][emoji1787]Na hii naona ndio suluhisho, ingawa moyo unakuwa unateseka
Mahusiano hayana shujaa mkuuHata wewe[emoji1787][emoji1787]
Ebu vua miwani nikuoneShem unajitahidi kwa vinyuzi vya hovyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]
Stress hizo za kuachwa
🤸♀️🤸♀️🤸♀️Ebu vua miwani nikuone
Nakuona umevaa nguo ya sikukuu 😀🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Naenda naye pole pole, najua ipo siku atasema yes 😀Muombe muagane, umle mbususu 🤔
Komaa sasa! 🤔Naenda naye pole pole, najua ipo siku atasema yes 😀
Unaufahamu ule wimbo, unaoimba; 'kila mtu atauchukua, mzigo wake mwenyewe...'? 😀 😀Komaa sasa! 🤔
Mimi mwenyewe nna single maza la kihindi na kiarabuarabu nalifukuzia..., linauza duka Postal.
Nali-set hapa najifanya kujali... mara ooh! Pole na kazi, umeamkaje, mtoto anaendeleaje....
najifanya najali lijae kwenye line nikalilambe asali. Naamini kitatiki maana tunaenda sawa.
Nakuombea mwanangu equation na wewe kitiki! Tuseme aameen! 😂🙌🏾👍🏾
Nina wajukuu sitaUna umri gani?
Naomba tuanzie hapo!
Basi hata wajukuu zako wanakuzidi akiliNina wajukuu sita
Basi nipe jibu, inamaanisha nini?Basi hata wajukuu zako wanakuzidi akili
Anakupenda sanaBasi nipe jibu, inamaanisha nini?
Sina uhakika sanaAnakupenda sana