Kwenye maisha usiruhusu kila mtu akuzoee ni KOSA kubwa mno pia weka muda maalum wa watu kukupigia simu

Kwenye maisha usiruhusu kila mtu akuzoee ni KOSA kubwa mno pia weka muda maalum wa watu kukupigia simu

Shinnok

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
236
Reaction score
564
Ukiwa unaingilika ingilika kirahisi utajishushia heshima weka limits za watu kukuzoea. Wengine salamu tu inatosha wasikuzoee sana

Kawaida ya mbongo akikuzoea anakushusha thamani ndo maana hata wasanii somo lao kubwa kwenye kazi zao za sanaa ni kujiweka mbali na mazoea yani kutojichanganya changanya hovyo na watu.

Maana utasikia yule jamaa msanii atakuwa yule mbana deile tupo naye hapa tunapiga naye stori ni wa kawaida mno.

Kingine usipende kuchati chati ovyo kwenye groups mtu akiwa interested kuchati na wewe akufate inbox

Kingine weka muda wa watu kukupigia simu ukiona unapigiwa simu mpaka usiku wa manane hiyo ni dharau na wamekuchukulia cheap
 
Soon watakuja humu kukutukana kuwa unajiona bora na kuwadharau wengine [emoji23], lkn huo ndio ukweli mchungu hata kama huna pesa usiruhusu unyanyasike na kuchukuliwa powa, kuna muda inabidi uwe na mipaka ili uheshimike, kamwe usiruhusu watu wakuzoee sana maana watakuharibia cv
 
Kama hakuna emergency mtu pekee wa kunipigia simu za usiku ni babe, kiasi kwamba simu ikiita usiku nashtuka kabisa maana si kitu cha kawaida..!

Habari ya kunipigia sasita za usiku kisha uniambie nilikuwa nakusalimia,

Aiseeh' hiyo tabia nasimama nayo kinyume na nishapiga marufuku..!!
 
Maisha ni haya haya tu, usipo sosholize na yua saraundingi environment ukajifanya kauzu itakukosti baadaye........eti hupokei simu midi naiti, inawezekana ukawa unapigiwa kijijini kwenu huko mama yako amepata dharula,na Kwa wakati huo unaweza kusovu jambo ukaokoa.......so just be simpo endi hambo huwezi jua
 
Ukiwa unaingilika ingilika kirahisi utajishushia heshima weka limits za watu kukuzoea.wengine salamu tu inatosha wasikuzoee sana
Kawaida ya mbongo akikuzoea anakushusha thamani ndo maana hata wasanii somo lao kubwa kwenye kazi zao za sanaa ni kujiweka mbali na mazoea yani kutojichanganya changanya hovyo na watu.
Maana utasikia yule jamaa msanii atakuwa yule mbana deile tupo naye hapa tunapiga naye stori ni wa kawaida mno.

Kingine usipende kuchati chati hovyo kwenye groups mtu akiwa interested kuchati na wewe akufate inbox
Kingine weka muda wa watu kukupigia simu ukiona unapigiwa simu mpaka usiku wa manane iyo ni dharau na wamekuchukulia cheap
Huko ni kijidai unataka wakuzoee mbwa!Ukiumwa na wakakuchangia kila mara hilo limekaaje kwako!???
 
Soon watakuja humu kukutukana kuwa unajiona bora na kuwadharau wengine [emoji23], lkn huo ndio ukweli mchungu hata kama huna pesa usiruhusu unyanyasike na kuchukuliwa powa, kuna muda inabidi uwe na mipaka ili uheshimike, kamwe usiruhusu watu wakuzoee sana maana watakuharibia cv
Inategemea, wasipokuzoea mtushaurianaje?
 
Walikuwepo watu muhimu zaidi yako walitembea na magari yenye misafara yenye ulinzi mkali na juu helcopter lakin leo wamelala peke yao chato.

Kama unataka thamani Basi wathamini watu wengine usipo mthamini mtu usitegemee kuthaminiwa kwakua kila unacho fanya utalipwa mfano wake.
Siku utakayopata dharura usiku na ukampigia simu mtu ambae humpokeleagi ndo utajua thamani ya kuthamini
 
Ukiwa unaingilika ingilika kirahisi utajishushia heshima weka limits za watu kukuzoea.wengine salamu tu inatosha wasikuzoee sana
Kawaida ya mbongo akikuzoea anakushusha thamani ndo maana hata wasanii somo lao kubwa kwenye kazi zao za sanaa ni kujiweka mbali na mazoea yani kutojichanganya changanya hovyo na watu.
Maana utasikia yule jamaa msanii atakuwa yule mbana deile tupo naye hapa tunapiga naye stori ni wa kawaida mno.

Kingine usipende kuchati chati hovyo kwenye groups mtu akiwa interested kuchati na wewe akufate inbox
Kingine weka muda wa watu kukupigia simu ukiona unapigiwa simu mpaka usiku wa manane iyo ni dharau na wamekuchukulia cheap
Poa na ukifa sisi hatuji kuchimba kabul wala kubeba jeneza lako hao ulioweka limit ndio wakuzike
 
Walikuwepo watu muhimu zaidi yako walitembea na magari yenye misafara yenye ulinzi mkali na juu helcopter lakin leo wamelala peke yao chato.

Kama unataka thamani Basi wathamini watu wengine usipo mthamini mtu usitegemee kuthaminiwa kwakua kila unacho fanya utalipwa mfano wake.
Siku utakayopata dharura usiku na ukampigia simu mtu ambae humpokeleagi ndo utajua thamani ya kuthamini
Pana watu mna akili sana aisee...pana jamaangu mmoja alikua akitoka kazini anazima simu anawasha usiku muda anaojisikia yeye nilimwambia hiyo sio nzuri hakunielewa kuna siku Mzee wake aliumwa ghafra jioni wanampigia simu yeye hapatikani watu wamempeleka hospital bahati mbaya Mzee akafariki huyo jamaa anakuja kuwasha simu saa nne usiku ndio anaona idadi ya missed call na meseji hapo yupo Tanga muda huo atafanyeje ili asafiri ilibidi aondoke asubuhi toka hapo huyo jamaa anaona simu na mtu yeyote anaempigia simu wakati wowote anapokea tuu...wengine wanajifunza kwa matukio na wengine ubinafsi upo kwenye damu wataishi hivyo milele..
 
Back
Top Bottom