Ukiwa unaingilika ingilika kirahisi utajishushia heshima weka limits za watu kukuzoea. Wengine salamu tu inatosha wasikuzoee sana
Kawaida ya mbongo akikuzoea anakushusha thamani ndo maana hata wasanii somo lao kubwa kwenye kazi zao za sanaa ni kujiweka mbali na mazoea yani kutojichanganya changanya hovyo na watu.
Maana utasikia yule jamaa msanii atakuwa yule mbana deile tupo naye hapa tunapiga naye stori ni wa kawaida mno.
Kingine usipende kuchati chati ovyo kwenye groups mtu akiwa interested kuchati na wewe akufate inbox
Kingine weka muda wa watu kukupigia simu ukiona unapigiwa simu mpaka usiku wa manane hiyo ni dharau na wamekuchukulia cheap
Kawaida ya mbongo akikuzoea anakushusha thamani ndo maana hata wasanii somo lao kubwa kwenye kazi zao za sanaa ni kujiweka mbali na mazoea yani kutojichanganya changanya hovyo na watu.
Maana utasikia yule jamaa msanii atakuwa yule mbana deile tupo naye hapa tunapiga naye stori ni wa kawaida mno.
Kingine usipende kuchati chati ovyo kwenye groups mtu akiwa interested kuchati na wewe akufate inbox
Kingine weka muda wa watu kukupigia simu ukiona unapigiwa simu mpaka usiku wa manane hiyo ni dharau na wamekuchukulia cheap