Kwenye maisha usiruhusu kila mtu akuzoee ni KOSA kubwa mno pia weka muda maalum wa watu kukupigia simu

Life has no single formulas for us to rely on, yamkini mtoa mada Kuna wanajamii wamekutenda hivyo usihalalishe kuwa hiyo ni acceptable life style to everyone.
 
We nae sasa uache ufala.
Ndo haya haha tunasema mazoea yakisenge, we mtu anakojoa ndani kwako unabaki kusema ndo binadamu.

Ebu Wacha ujinga uko

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Inategemea na shughuli unayofanya
 
Inategemea na maisha unayoishi kama huna connection yoyote we hata ukipachua sim card hutaulozwa kitu ila kama ni ntu wa dili walahi hata chaji hutamani iishe
 
We nae sasa uache ufala.
Ndo haya haha tunasema mazoea yakisenge, we mtu anakojoa ndani kwako unabaki kusema ndo binadamu.

Ebu Wacha ujinga uko

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
nilitakiwa nimuue,embu tia neno mkuu.

ndio nyinyi mnaua au kujeruhi halafu unapelekwa jela kwa kitodhibiti hasira.
 
Absolutely true, we pokea simu muda wotewote mana uwezi kujua simu ipi ni ya dharura na simu ipi ni ya salamu! Na hakuna mtu anayekupigia usiku halafu akuambie namalizia dakika zangu huyo atakuwa amekuzoea sana! Binafsi nilishapokea simu usiku sana kumbe kuna mzazi yupo hatua za mwisho ilibidi kuwasha gari fasta. Dharura zipo jamani pokeani simu
 
chakula kinakwenda na mood ya kila siku,kuna siku ratiba inasoma makande halafu unahisi kabisa hayapandi labda mchicha na ugali tu,ratiba iko pale juu ifatwe.
sijui kama una familia, kama ni bachela sawa unashauriana tu na halmashauri ya kichwa chako lkn hamna kitu kinachosha kama kupanga menu ya chakula asubuh mchana jioni, inafika point
watu wenyewe hawapendi kuulizwa wanataka kula nn au wanasema we pika chochote, so ratiba inasaidia, kama siku ya makande hamtamani makande si mnabadisha tu
 
Hii ya kupokea simu inategemea mzunguko wako wa watu ukoje, kama ni mwanafunzi, huna kazi/mishe, familia haikutegemei unaweza usione umuhimu wa kupokea maana unajua hamna cha maana, hapo ushapokea simu mara kadhaa nyuma hakukuwa na cha maana
 
Mtu wa kunipigia sim mda wowote Ni mmangati wangu tu anaenipa utamu .
Wengine napokea pale inapobid lakin sio lazima.

Afu sitabiriki mda wowote nabadilika
 
Maisha ni mafupi sana - jitahidi kuyafurahia bila kujiwekea vikwazo na vizuizi vingi. Wote safari yetu ni moja na siku ya mwisho unasafiri mwenyewe kama vile unavyotaka kujiwekea mipaka wakati upo hai. Wewe unatakiwa kupunguza msongo wa mawazo siyo kujiongezea na visheria sheria vingi visivyokuwa na sababu- eti unatafuta heshima.
 
Tafuta pesa,,
Mambo ya ratiba za simu zitajipanga zenyewe.

Hivi ukiwa huna chochote wala lolote hizo ratiba zitakusaidiaje?
Kama sio kujuzidishia umaskini.
 
Hautakiwi kutabirika,mi kuna siku unaweza nipigia simu hata usiku kama niko macho napokea fresh tuu,ila kama nimechoka sitapokea simu ya mtu labda awe wa muhimu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…