Amejiunga kwenye kundi la marais waliopata urais bila kuwa na ndoto au hata kujiandaa: Fundi umeme Lech Walesa Rais mstaafu wa Jamhuri ya watu wa Poland na mchekeshaji na Rais wa sasa wa Ukraine, jirani na Poland. Hadi kufika 2025 tutashuhudia mengi.Mtu alifeli darasa la nne,akarudia,akafeli kidato cha pili akarudia akafeli form four badae akarudia masomo kama private candidate,elimu yake ikawa ya kuunga unga,unafikiria ataweza kujibu swali kwa weledi,akienda hard talks anaweza kutoa siri zote za nchi na zake binafsi,ndo shida ya kuongozwa na watu wenye elimu ya kuunga!
Huu ndio muda wa mataifa ya nje kutumia udhaifu wa Samia kufanya wanachotaka nchini.
Logical non sequitur and irrelevant to the topic.Na vipi kuhusu yule Rais wenu wa taifa kubwa duniani anavyoaiibisha taifa katika hotuba zake ? Bonge la mzigo , kila siku White House wanahaha kurekebisha hahahhaaha
Mbona mambo yapo mengi tuu, ukiona viongozi wanatofautiana kwenye jambo fulani bc ujue kuna kitu hapo. Mfano Magufuli hakutaka mradi wa bandari Bagamoyo uendelee lkn Kikwete/Samia wanataka uendelee, ukiona vitu kama hv ujue kuna mkono wa watu hapo.Hapa nchini kuna kipi cha maana kwa hayo mataifa ya nje? Mpaka sasa kabla ya huu udhaifu wa Samia nchi hii ni masikini, ni kipi kitawanufaisha wao ambacho kimeshindwa kututoa sisi kwenye huu umasikini?
Mbona mambo yapo mengi tuu, ukiona viongozi wanatofautiana kwenye jambo fulani bc ujue kuna kitu hapo. Mfano Magufuli hakutaka mradi wa bandari Bagamoyo uendelee lkn Kikwete/Samia wanataka uendelee, ukiona vitu kama hv ujue kuna mkono wa watu hapo.
Shida ipo hapoHIYO AKILI YA ZIADA NA WEREVU ANAO?
Hivi mbona hatuamini mpk leo kama JPM hayupo?Huu ndio muda wa mataifa ya nje kutumia udhaifu wa Samia kufanya wanachotaka nchini.
Wap nimeandika JPM yupo.?Hivi mbona hatuamini mpk leo kama JPM hayupo?
Acheni kutumia nguvu kumsifia acha matendo yake akiwa hai yaongeeWap nimeandika JPM yupo.?
Acha kudandia gari kwa mbele, hujui mada imeanzaje ww unakuja na kiherehere tuu.Acheni kutumia nguvu kumsifia acha matendo yake akiwa hai yaongee
Hivi nje ni nje ya bara la afrika? Au nje ni nje ya TZ?Nchi hii ilianza kuingia kwenye utaratibu wa midahalo tena kwa lugha ya kiswahili hasa wakati wa uchaguzi, na nyakati nyingine huko nyuma. Tulipoaanza kuingiza wagombea wasio na uwezo, hapo tukaona udhaifu ukifichwa wa viongozi hao kwa kusemwa eti wao kazi zao zinaonekana, na hawana muda wa midahalo. Ilifika mahali mpaka Bunge live halitakiwi maana kuna watu hawana uwezo wa kujieleza, hivyo ikawa inaonekana wenye uwezo wa kujieleza watafaidika na hali hiyo!
Sasa kama watu wanakwepa midahalo kwa lugha ya kiswahili wanayoiweza, tena kwa wasimamizi wa hiyo midahalo wanaohofia madaraka yao, inakuwaje wanapokutana na waandishi wanaotumia kiingereza wasichokimudu vyema, na wasio na hofu ya madaraka yao? Matokeo yake ni lazima mtu aongee ukweli,maana ni ngumu kudanganya kwa lugha usiyoimudu vyema, hasa ikizingatiwa huna uwezo wa kumudu midahalo. Katika vitu vilivyomfanya Magufuli aogope kwenda nje, kikubwa ilikuwa ni uwezo wake mdogo wa lugha ya kiingereza, na uwezo wake mdogo wa kujieleza hata kwa hicho kiswahili. Na vile alijua atakutana na watu wasioogopa madaraka yake, aliona bora lawama ya kutokwenda, kuliko fedheha ambayo angeipata kwa kwenda nje.
The big question.HIYO AKILI YA ZIADA NA WEREVU ANAO?
Hivi nje ni nje ya bara la afrika? Au nje ni nje ya TZ?
Samia anautendaji gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunataka Rais mtendaji sio muongeaji. Bora samia mara 100 kuliko hao waongeaji
Unatafuta justification kwenye jambo lako hewa. Eti yenyr uzito ni nje ya bara la afrika. Kwa hiyo ukiwa south Africa, Zambia au Nigeria unakua upo bado TZ?Mara nyingi nje yenye uzito ni nje ya bara la Afrika.