Kwenye mambo yanayohusu maslahi ya Wanyonge ni ngumu Sana kuwasikia Wapinzani

Hapo sawa tumesimama upande mmoja.,sikukuelewa mwanzo
 
Brother mbona wajichanganya? Post nyingine una justify hizi tozo kwa kufananisha na kodi za US. Wakati huo huo wataka Mbowe awe na msimamo kinzani. Msimamo wako wa TOZO ni upi? Mijitu kama nyie ndio mwatufanya CCM tuonekane malofa kila kona.
 
Mbona unawasakama wapinzani kwani hujui kua bunge in LA ccm walaumu ccm ndo walotunga sheria kandamizi upinzani uliuwawa na watu walisema mathara take ndo haya
 
Kwahiyo hoja yako ni ipi kwamba wametususia na tunastahili kususiwa ndio maana wako busy na kudai katiba mpya kwa masilahi yao ya kisiasa? au kwamba kwa sababu hawapo tena bungeni hivyo hawawezi kuwatetea wananchi wakiwa nje ya bunge?
 
Kweny hili siwatetei CDM maan wapo mmoja mmoja kule Twitter walilalamika since day one, but kwann CCM hawalalamiki au kupaza sauti juu ya hili? Yaan hata kwa mmoja mmoja tu kamwe huez ona walilalamika?
 
Umeongea point sana nilitegea wapinzan kutumia mwanya huu kujijenga zaid nilitegemea wameita wandishi wa habar kulaani vikali nakuomba bei zirud kama mwanzo viongoz ni mpuuzi ntupu ( mzee mpili voice
Ingekua vyema ukawapasha hbr hasa wale waliopitisha hili kuliko kuwasakama wale ambao hata hawahusiki kulipitisha hili. Yaan wengine watengeneze tatizo then lawama watupiwe wengine? Think about it!!
 
Hao ni mawakala wa mabeberu,

Hitaji lao ni kupata nafasi ya kutawala tu Ili washirikiane na mabeberu kutuchuna ngozi, hawana jingine.

Angalia wanachokidai, "tume huru ya uchaguzi".

Lisu mwenyewe kwenye kampeni alitoa proposal ya kuwakabidhi mabeberu rasilimali zetu halafu wao watupe fedha za maendeleo, utaona ni namna gani wanatumwa walete Ajenda toka Kwa ngozi nyeupe.

Watanzania tunalo , kama sio ngozi nyeupe basi ni macho madogo.
 
Kama ni hivyo unaweze usiwe sawa,na watu jamii hii yaweza kuwa ndio sababu ya mkwamo huu tunao uona kwenye taifa letu.
 
Sasa bora yupi,wakala wa uwasemao ama wakala wa shetani.
 
"bora wapinzani walikosa ubunge....wangetuchelewesha kufikia maendeleo...bunge zima tumelishika sisi ccm..". lilisikika taga moja.
 
"bora wapinzani walikosa ubunge....wangetuchelewesha kufikika maendeleo...bunge zima tumelishika sisi ccm..". lilisikika taga moja.
Wao wanasikika tu kwenye unyongaji wa wanyonge ,ila sii kwingineko.
 
Chawa kutoka wasafi naye anafungua uzi wa kuwananga wapinzani..and we all know ni kwa sababu ya zile kunguni zilizosagwa kuhusu BET.
 
Chawa kutoka wasafi naye anafungua uzi wa kuwananga wapinzani..and we all know ni kwa sababu ya zile kunguni zilizosagwa kuhusu BET.
Wasitake tukawageukia tena,hasira zetu kwao bado kuisha.
 
Unaandika huu upupu kwa sababu CCM haijakutia sawasawa.The worst is yet to come.Subiri CCM itakutia sawasawa na utatoka huko mafichoni na kauli mpya ya kukanusha kauli hii.
 
Mbwa nyie, si mlibinuka binuka kwa filimbi na vinubi pale bajeti ilipokuwa ikisomwa na mlikuwa mnasema wapinzani hupinga kila kitu? Yamewafikeni sasa mbwa nyie mjue kuwa wapinzani wanamaanishaga nini wanapopinga vitu. Huwezi kuelewa uzito wa tatizo mpaka tatizo lenyewe likufike. MATAGA yamewafika sasa mnawaomba wapinzani wapaze sauti, paza sauti na mamako waacheni wapinzani wapumue sasa!
 
Mlituaminisha kuwa wanyonge hawaitaki katiba mpya wanataka uchumi kwanza. Waambieni walipe kodi uchumi upae
 
Haya maneno yanaoonyesha nawe ni mmoja wa wafuasi wa CCM, kwa sasa mliamua kuwa na Bunge la kijani na Mabaraza ya Madiwani ya Kijani ili mlete maendeleo kwa kuwa wapinzani walikuwa wanachelewesha maendeleo.

Maendeleo tumeanza kuyaona kwa kasi ya kuongeza kodi kwenye pembejeo, tozo kwenye miamala ya simu, Kodi ya majengo kupitia ununuzi wa luku za umeme bila kujali kuwa wananunua umeme ni wapangaji katika nyumba au ni mmiliki wa nyumba nk.

Tungekuwa na Bunge lenye Wabunge wa Upinzani wengi hakika mambo haya yasingepita kabisa, lakini sasa tunaendeleza ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI. Namalizia kwa kusema sasa TWASOMA NAMBA WOTE KWENDA MBELE
 
Wapinzani walipoitisha maandamano ya kupinga uchaguzi wa mwaka Jana, wanyonge tuliwambia waache kutuharibia nchi yetu. Leo tunataka nini tena jamani. CCM wako sawa wanataka kutujengea madarasa ambayo wameshindwa kutujengea tangu Uhuru.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…