SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Usiumize Sana kichwa.Salaam kwenu,
Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.
Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe za kisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.
Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.
Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.
Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.
Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.
Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?
Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?
Wasalaam!
Jamaa kapaniki. Sijawahi weka mwanamke katika kipengele hiko. Anyway mali ya mwanamke siku zote ni yake.Hizo taarifa hazina impact ikitokea mmoja ametangulia ni formalities za kiutumishi, hata akifa leo urithi hauendi kwa aliowaandika hadi taratibu za MIRATHI zifuatwe ambazo kwa sehemu kubwa husimamiwa na Msimamizi wa mirathi.
NEXT OF KIN sio warithi ndugu wa karibu wa mtumishi ikiwa jambo lolote likitokea awe wa kwanza kutafutwa
Mkuu ukiwa na mtazamo huu, ndoa haitofika mbali.Acha amjengee kwani Ni mume ndio kamsomesha acheni ujinga Sasa mume anajenga kwako kwa wazaz wake Kama fadhila ila mke akijenga inakuwa nongwa
Mm nadhni mke Yuko sahih kwa kumjali Bab ake Kwanza zilioni shida kbsa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ushawishi utakao pelekea singo maza mwingine kuzalishwaHili nalo la kuomba ushauri kama mlishakubaliana mbadilishe yeye bado akagoma. Trust me hiyo will ya kufanya ivoo imebarikiwa na wakwe.
Huyo hakufai kuligundua hilo mpaka uje upigike haswa mfano kupoteza kazi maana hamna mwili mmoja tena hapo.
Anyway Piga chini au ishi nae kimkakati
Ni kweli kama familia ya mwanamke wana uchumi mzuri mwanamke hawezi kuandika urithi majina ya wazazi wake na hivyo hivyo kwa upande wa familia ya kiume, Umasikini ndiyo chanzo cha mambo yote, tatizo linaanzia kwa wazazi wetu kuwa masikini wa kipato hawana uwezo wa kujihudumia mataji muhimu na kutokuwa na uzazi wa mpago utakuta mzee ana miaka 50 bado ana majukumu yakulea familia, kumbe ange zaa kwa mpango watoto watatu au wa 4 wa ngekuwa wana jitegemea na mzazi ana kuwa hana majukumu zaidi ya majukumu ya yeye mke wake na wangepata nafasi ya kutembea kwenye vivutio vya kitalii, Sasa wa zee weu utakuta mpaka ana kufa hajawahi kutoka mkoa anaoishi.Mmmh unauwakika
Wanawake wa kaskazini ndiyo wana fanya wanawake waonekane wabinafsi.Duh haya Maisha tunatofautiana sana, off course nimekuja kugundua wanawake wa kuoa Ni wanyakyusa , Ni watiifu sana kwa waume zao na wanapenda sana kutengeneza familia , no matter Ana pesa kiasi gani, Nina mifano miwili niliyoshuhudia , wa kwanza Ni kwa mke wangu, yeye hata kadi ya benki hajui iko wapi, na sifahamu Mara ya mwisho kuishika ilikuwa Ni lini, maana Mimi ndo naimiliki, Wala sio kwa ubabe wangu, la hasha ni mahaba na utashi wake.
Mfano wa pili ni mwanamke amabaye Ni office mate wangunaye Ni mnyakyusa, anampenda sana jamaa yake(mme,)licha ya kwamba mme wake ni mtu wa vidosho, lakini huwezi mwambia amuache, kaenda benki kachukua mkopo na kumnunulia pikipiki ili Bwana mkubwa alilaksi,na hapa Naona kachukua Tena mkopo wanajenga
Sasa Mimi huwa nashanga watu wanaosema kuooa wanawake wafanyakazi Ni changamoto, Mimi has sio kweli, Bali inategemeana na Sina ya mwanammke uliyenaye
Pongezi ziende kwa mabinti wa kinyakyusa!!!!
Hata kama mume hajaandikwa, mje akifa hela za NSSF au PSSF anapewa mumewe. Halafu mmojawapo akifa kama hajaandika wosia rasmi hayo makaratasi ya ofisini wala hayatumiki, watafuata sheria ya murathi etcSasa cha ajabu nini?? Ni wapi uliona mwanamke anamweka mume kama mrithi my friend. Mimi ni mtumishi sijawahi kuona.. Hata uwaaulize au kuwashauri huwezi kubadirisha hiyo mitazamo yao..
So why ukae uumize kichwa kwa vitu none sense. Unajua wazi kwa nini huwa wanafanya hivyo. Kwa hiyo usiumize kichwa. Au una uhakika atatangulia kufa yeye? If not why bother?
Wote ndio Hali hiyo hiyo na maisha ya naendelea tena kwa furaha na Amani.
Kwani akitangulia wewe utashindwa kutunza watoto mpaka uwe concern na nini aliandika?
Baada ya kifo wanaotesekaga ni wajane (Wanawake) na sio wagane.
Mwanamke anaamini yeye akifa utaoa mke mwingine ambaye ndiye atakayekuja kula vyote alivyochuma au mlivyochuma pamoja na atawanyanyasa watoto wake aliowaacha.... Na wanaona mifano hai kila siku na ni kweli.
Sasa utatumia mbinu ipi kumwaminisha kuwa kwako haitakuwa hivyo?
Kumbuka mwanaume ndio mwenye maamuzi ya kuoa au kuto oa.. Tofauti na mwanamke akifiwa kuolewa ni ngumu sana Maana Hana maamuzi juu ya mwanaume. Labda achukue viserengeti. Ingawa wapo wachache wanao olewa tena.
So relax chapa kazi, lea familia achana na hivyo vitu vidogo kama you're machured enough kwenye ndoa.
Jenga future bora ya familia yako hata usipo kuwepo una uhakika hakuna kikaragosi kutoka kwenye ndugu zako atakae ingilia future na rasilimali ulizoacha vinginevyo usipoteze muda na akili.
Wanaume ndio tunaopaswa kujenga Mifumo ya kuaminika na wenzi wetu vinginevyo mtaishia kuharibu ndoa.
Njia ya kwanza ni kudhihirisha kwa vitendo kuwa huna na huhitaji chochote chake(isipokuwa responsibilities za kawaida kwenye family, mahitaji, maendeleo, Ada etc.) lakini Mali no no.. Jinsi ambayo utakuwa huonyeshi interest kwenye maeneo hayo ndivyo atakavyo kuamini na kukabidhi mwenyewe Mali na mirathi.
Kadiri unavyoonesha interest kwenye vitu hivyo ikiwemo mirathi uliyo Sema ndivyo atazidi kuikimbiza mbali nawe Maana ni Ishara ya kutoaminika.
Be Gentle man my friend utaishi kwa raha, Amani na furaha na mkeo.
Sio wanyanyakyusa tu, mimi nelelewa kwenye familua baba na mama wanashirikiana, na sisi ni hivyo hivyo. Hakuna cha mwanaume eti yeye ndio kila kitu. Mwanaume anapata mshahara laki 3 au 5 kwa mfano kwa mwezi , kumtegemea yeye ndio kila kitu hamtakaa muendelee. Nyumba nzuri, gari etc mtaishia kuona kwa wenzenuDuh haya Maisha tunatofautiana sana, off course nimekuja kugundua wanawake wa kuoa Ni wanyakyusa , Ni watiifu sana kwa waume zao na wanapenda sana kutengeneza familia , no matter Ana pesa kiasi gani, Nina mifano miwili niliyoshuhudia , wa kwanza Ni kwa mke wangu, yeye hata kadi ya benki hajui iko wapi, na sifahamu Mara ya mwisho kuishika ilikuwa Ni lini, maana Mimi ndo naimiliki, Wala sio kwa ubabe wangu, la hasha ni mahaba na utashi wake.
Mfano wa pili ni mwanamke amabaye Ni office mate wangunaye Ni mnyakyusa, anampenda sana jamaa yake(mme,)licha ya kwamba mme wake ni mtu wa vidosho, lakini huwezi mwambia amuache, kaenda benki kachukua mkopo na kumnunulia pikipiki ili Bwana mkubwa alilaksi,na hapa Naona kachukua Tena mkopo wanajenga
Sasa Mimi huwa nashanga watu wanaosema kuooa wanawake wafanyakazi Ni changamoto, Mimi has sio kweli, Bali inategemeana na Sina ya mwanammke uliyenaye
Pongezi ziende kwa mabinti wa kinyakyusa!!!!
Next of kin, kwenye taarifa zako za kidigitali inamaanisha "mtu wako wa karibu anayeweza kupokea taarifa zako kutoka kwa mwajiri au kutoa taarifa zako sahihi kwa mwajiri wako pindi pale panapotokea hitaji la lazima au dharura"Salaam kwenu,
Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.
Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe za kisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.
Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.
Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.
Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.
Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.
Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?
Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?
Wasalaam!
Usiwaze Sana urithi maana wanaume Kwa % kubwa hutangulia mbele ya haki.Salaam kwenu,
Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.
Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe za kisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.
Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.
Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.
Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.
Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.
Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?
Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?
Wasalaam!
Hapo umepigwa mkuu. Chunguza vizuri huenda hata watoto siyo wa kwako. Lakini kabla ya hatua hiyo, muulize kwanza usikie maelezo yakeSalaam kwenu,
Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.
Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe za kisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.
Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.
Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.
Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.
Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.
Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?
Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?
Wasalaam!
Huku kukomoana ni kutesa watoto lofoten likitokea. Ni mara chache sana watoto kupata haki zao pindi mzazi anapofariki.Nenda uombe mkataba wako ufanye amendment kidogo na wewe badilisha weka hata mdogo wako tena wifi yake.
Ngoma iwe draw, wanaita Ngoma ngondoigwa