Kwenye mkataba nimemwandika kama mrithi Ila yeye kamwandika baba yake

Naunga mkono hoja πŸ“ŒπŸ”¨
 
Kashakusoma una tamaa kijana endelea kuishi tu. Anyway aandike wangapi Kuna wewe ana kiben ten na kijamaa kipo nae ofisi moja bora aandike mzee wake kukata mzizi wa fitina.
Mmmmmh!sawa.
 
Japo tulikubalian yeye aniandik namimi nimuandike.Angekataa tangu mwanzo bas
 
Japo tulikubalian yeye aniandik namimi nimuandik yeye.Angekataa bas tang mwanzo
 
Japo tulikubalian yeye aniandik namimi nimuandik.Angekataa bas tangu mwanzo
 
Nimuulize?
 
Sawa mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Madam ali-mind baada ya jamaa kumla re-sitter na kusahau kanga sebuleni mpaka wife kuifuma


Hawezi kumwandika kwenye urithi
Hahaaaaaaaa!wewe jamaa kwa kufukua makaburi hujambo asee
 
Japo tulikubalian yeye aniandik namimi nimuandik yeye.Angekataa bas tang mwanzo
Unajiangaisha bure tu, wewe ndio utaanza kufa na yeye ndio mrithi hata usipomuandika kwenye makaratasi, mahakamani mirathi atapewa mke wako na watoto.

Nina uhakika mkubwa wewe ndio utatangulia kufa mke utamuacha.
 
Kwamba wazaz wake watamsubir afe ili wawe matajir kw urithi mkuu?
 
Wanawake ni wabinafsi sana na kamwe hawawezi kukusaidia lolote yuko radhi mlale njaa ila kwenye mkoba wake kuna maburungutu.

Mnaojidanganya kuoa mwanamke mwenye kazi ati "mtasaidiana maisha" imekula kwenu. Waliooa wanawake wenye vijiajira wanakiona cha moto

 
Hapo sijakupa info za mwalimu J anavyomkula.
Utakufa πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™„
Your browser is not able to display this video.
 
Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?
Nia yake (ovu) ipo wazi kabisaa. Ikitokea bahati mbaya akatangulia mbele za haki anaamini kabisa mafao yake utayatapanya na pisi nyingine utakayoioa. Yaani anamuonea wivu mkeo mtarajiwa. Wivu mpaka kaburini!

Sio peke yake. 98% ya wanawake wote wamefanya hivyo kwenye suala la β€œnext of kin”

Wengine wameweka dada zao. Wanasahau hata huyo dada na yeye ana watoto wake wa kuzaa atakaowajari zaidi ikitokea anavuta mafao
 
Nihisia tu zilinijia nikataka kujiridhisha alichojaza mwenzangu
 
KAA CHINI UMUULIZE SABABU YA YEYE KUFANYA HIVYO, UTAPATA MAWILI MATATU
Sasa si atamuuliza umejuaje? Maana yake kuna mtu
Hao wanyakyusa hahaha jombaa pole sana hao hawajui kukataa uliza tulioishi unyakyusani...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…