Kwenye ndoa mkikosa mtoto, utasumbuana na mke wako miaka yote?

Kwenye ndoa mkikosa mtoto, utasumbuana na mke wako miaka yote?

rich1

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
3,020
Reaction score
3,309
Eti ni kweli kwenye ndoa mkikosa mtoto, mwanamke utasumbuana nae mpaka siku ya mwisho?
 
Serengeti lager [emoji481] ina 4.8 na wimbo wa mama amina unaimbwa hapa ukimaliza nitakujibu


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Eti ni kweli kwenye ndoa mkikosa mtoto, mwanamke utasumbuana nae mpaka siku ya mwisho?
Hakuna kitu kizuri au kibaya kama malengo.
Kwani mnapooana nini hasa lengo la ndoa yenu!
 
Back
Top Bottom