Kwenye sakata la Mchungaji Kimaro, nasimama na Kiongozi wangu Askofu Malasusa

Kwenye sakata la Mchungaji Kimaro, nasimama na Kiongozi wangu Askofu Malasusa

KKKT ni Kanisa la Kiinjili, wale wahuni walioandamana hawajui tamaduni ya hili kanisa, kama Kimaro ana uinjilisti mkubwa na wenye wito, basi uinjilisti wake hautakiwi kuishia Kijitinyama, lazima uende mahali pengine, yeye sio wa kwanza kuhamishwa na wala hatakuwa wa mwisho, KKKT litakuwepo na litaendelea kuwepo bila hata Kimaro.
Point hii
 
Mimi ni msharika wa Kijitonyama mstaafu. Nihama pale baada ya mambo kuwa mengi. Ila bahasha yangu bado ipo.

Kabla ya kuja Kimaro we had a peaceful church. Misingi ya kanisa ilizingatiwa.

Tulifanikiwa pia kujenga ghorofa tisa la kitegauchumi na nyumba ya jirani alitekua anasumbua sana.

The church was peaceful

Huyu bwana akaja na mambo yake. Binafsi sikupendezwa maana mambo mengi yalivurugwa. Hakuwa anazingatia tamaduni za kanisa.

Nikahama.

Malasusa ametokea katika familia ya mchungaji, anajua tamaduni za kanisa.

Kila kanisa lina tamaduni zake inazotambulisha. Kuziacha ni kuua kanisa. Tamaduni za kanisa lazima ziwe protected at any cost.

Kiongozi wangu, Dr. Malasusa, personally uliwahi kunikosea na nikakukasirikia ila nimekusamehe, katika hili la kutunza tamaduni za kanisa niko na wewe.

Ndimi.

Msharika mstaafu wa kijito.

Amen.

Kuhusu Sakata hilo, soma: Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
YESU ALIHUBIRI UFALME WA MUNGU, NA SI TAMADUNI ZA KANISA FLANI
JE NI UTAMADUNI WA KANISA KUMSIMAMISHA UCHUNGAJI MTU BILA KUTOA TAARIFA YA SABABU NI NINI?
KWA SASA KIMARO NI MAARUFU KULIKO KANISA LENYEWE
 
Mimi ni msharika wa Kijitonyama mstaafu. Nihama pale baada ya mambo kuwa mengi. Ila bahasha yangu bado ipo.

Kabla ya kuja Kimaro we had a peaceful church. Misingi ya kanisa ilizingatiwa.

Tulifanikiwa pia kujenga ghorofa tisa la kitegauchumi na nyumba ya jirani alitekua anasumbua sana.

The church was peaceful

Huyu bwana akaja na mambo yake. Binafsi sikupendezwa maana mambo mengi yalivurugwa. Hakuwa anazingatia tamaduni za kanisa.

Nikahama.

Malasusa ametokea katika familia ya mchungaji, anajua tamaduni za kanisa.

Kila kanisa lina tamaduni zake inazotambulisha. Kuziacha ni kuua kanisa. Tamaduni za kanisa lazima ziwe protected at any cost.

Kiongozi wangu, Dr. Malasusa, personally uliwahi kunikosea na nikakukasirikia ila nimekusamehe, katika hili la kutunza tamaduni za kanisa niko na wewe.

Ndimi.

Msharika mstaafu wa kijito.

Amen.

Kuhusu Sakata hilo, soma: Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Misingi ipi? Mfano Lutheran huku kaskazini hasa Arusha imejaaa ukabila full yaani kama wewe sio Mwarusha au Mmsai basi sahau hata kuwa mchungaji, asilimia 100 ya wachungaji ni wamasai na Waarusha, Shule za kanisa asilimia 100 ya wakuu wa shule ni the same, njoo sasa kwenye project za kanisa.

Binafisi mara 1000 nikasali kwa manabiii ila sio kwa hawa lutheran
 
KKKT ni Kanisa la Kiinjili, wale wahuni walioandamana hawajui tamaduni ya hili kanisa, kama Kimaro ana uinjilisti mkubwa na wenye wito, basi uinjilisti wake hautakiwi kuishia Kijitinyama, lazima uende mahali pengine, yeye sio wa kwanza kuhamishwa na wala hatakuwa wa mwisho, KKKT litakuwepo na litaendelea kuwepo bila hata Kimaro.
Upo sahihi
 
Mimi ni msharika wa Kijitonyama mstaafu. Nihama pale baada ya mambo kuwa mengi. Ila bahasha yangu bado ipo.

Kabla ya kuja Kimaro we had a peaceful church. Misingi ya kanisa ilizingatiwa.

Tulifanikiwa pia kujenga ghorofa tisa la kitegauchumi na nyumba ya jirani alitekua anasumbua sana.

The church was peaceful

Huyu bwana akaja na mambo yake. Binafsi sikupendezwa maana mambo mengi yalivurugwa. Hakuwa anazingatia tamaduni za kanisa.

Nikahama.

Malasusa ametokea katika familia ya mchungaji, anajua tamaduni za kanisa.

Kila kanisa lina tamaduni zake inazotambulisha. Kuziacha ni kuua kanisa. Tamaduni za kanisa lazima ziwe protected at any cost.

Kiongozi wangu, Dr. Malasusa, personally uliwahi kunikosea na nikakukasirikia ila nimekusamehe, katika hili la kutunza tamaduni za kanisa niko na wewe.

Ndimi.

Msharika mstaafu wa kijito.

Amen.

Kuhusu Sakata hilo, soma: Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Hizi dini zenye zilikuja kututawala. Aanzishe kanisa lake kama hananja.
 
Hili suala Lina jazwa speculations zisizo na lazima. Ni nani ana ushahidi wa Nini haswa kilifanya Mchungaji kupewa likizo ya lazima?

Tukumbuke yeye ni Muajiriwa na Muajiri ana Haki ya kuchukua hatua mbalimbali kwa Muajiriwa wake kwa sababu mbalimbali. Huyo hiyo Muajiri aliyemleta Kimaro kijitonyama, kaona kuna haja ya kuchukua hatua alizoona Iko haja ya kuchukua. Kimaro hakuletwa Kijitonyama na Washarika. Na zaidi hajafikuzwa kazi.

Kama Kuna figisu basi wa kutueleza ukweli ni Mchungaji ama Muajiri wake.

Kanisa lipo na litaendelea kuwepo maana msingi wake ni Kristo mwenyewe. Dkt Kimaro kafanya kazi nzuri sana Kijitonya kwa kadir ya alivyojaliwa, tuchukulie tu ndio wakati wake umeisha na anatakiwa akatoe mchango kwingine.

Hata yeye amehamisha watumishi wengi pia hapo Kijitonya. Iweje yeye akihamishwa iwe nongwa.

Kama Kuna ushahidi wa kuonewa na uwekwe ujadiliwe. Kinyume na hapo ni uzushi.
Mimi nashindwa kuelewa nini msingi wa Hoka ZOTE hizi. Mchungaji kimaro hajalalamika popote. Alilopewa barua ya likizo alitii maagizo ya mwajiri wake na alikabidhi ofisi kwa mtumishi mwingine na akawaaga waumini wake. Sasa kafanya kosa gani hapo? Waumini msimamo wao sio wa mchungaji Kimaro. Ila tufike pahala tuuseme UKWELI KKKT Kuna ukiritimba mwingi sana. Mimi ni m- KKKT Nina zaidi ya mwaka sijaenda katika makanisa Yao kwa ukiritimba. Pesa zinapigwa anayehoji anatishiwa na michango ndiyo imejaaa tele tena ya kupangiwa na inatakiwa ulipe upended usipende.
 
KKKT muna tabu swanaaa, mwenzako humu kasema kabla yake yalijaa madeni pakakosa muelekeo. Kwanini ulikimbia madeni ya kanisa lako? Sasa ndio unaona sawa pako bila madeni? Wewe ni chawa au Askofu mwenyewe.
 
Walianza kwa kumpora YouTube channel yake, siku hizi inaitwa Lutheran kijitonyama tv. Sasa wamrudishie
 
YESU ALIHUBIRI UFALME WA MUNGU, NA SI TAMADUNI ZA KANISA FLANI
JE NI UTAMADUNI WA KANISA KUMSIMAMISHA UCHUNGAJI MTU BILA KUTOA TAARIFA YA SABABU NI NINI?
KWA SASA KIMARO NI MAARUFU KULIKO KANISA LENYEWE
Mkuu umejidanganya sana, Kimaro awe maarufu kuliko kanisa? Kimaro ni maarufu sababu yupo ndani ya Kanisa, kama anaamini yeye ni maarufu kuliko kanisa, mwambie asiende hiyo likizo aliyopewa aone umaarufu wake utamfikisha wapi?
 
Walutheri tuna bahasha ya Ahadi na Jengo- naahidi mwenyewe kiasi cha kumtolea Mungu kwa mwaka mzima ninachoona nitaweza.
Kanisa lenu la magomeni pale mataa
Na lile la kinondoni mahakamani mbona hazikamiliki [emoji1]

Ova
 
Naona Kimaro ndiye kataka leta mtafaruku, hakuwa na sababu ya kutangaza vile alivyo tangaza.

Pia inaonesha yeye ndo anawatumia Mwananchi na EFM kuonesha watu hawakubaliani na kilichofanyika.

NB: Kanisa lisirudishwe nyuma na watu wanaotaka wawe juu ya kanisa.
Kama wanabanwa waanzishe makanisa yao
 
Unajua maana ya utamaduni? Ngoja nikisaidie....ni totality of doing things ...ni namna hii ya kufanya mambo inayotofautisha msabato na mroma na mkkkt. Hata sisi kuna pastor alikuja na style yake ya kufanya mambo na kanisa likamkataa . Akafungua kanisa lake hapo sinza na waumini debe wakamfuata. Baada ya muda yakamshinda akarudi kundini. Why alitolewa kwakuwa alienda nje ya utaratibu. Mkitaka mfanye style yoyote nendeni kwa akina masanja wao ni free church
YESU ALIHUBIRI UFALME WA MUNGU, NA SI TAMADUNI ZA KANISA FLANI
JE NI UTAMADUNI WA KANISA KUMSIMAMISHA UCHUNGAJI MTU BILA KUTOA TAARIFA YA SABABU NI NINI?
KWA SASA KIMARO NI MAARUFU KULIKO KANISA LENYEWE
 
YESU ALIHUBIRI UFALME WA MUNGU, NA SI TAMADUNI ZA KANISA FLANI
JE NI UTAMADUNI WA KANISA KUMSIMAMISHA UCHUNGAJI MTU BILA KUTOA TAARIFA YA SABABU NI NINI?
KWA SASA KIMARO NI MAARUFU KULIKO KANISA LENYEWE
Akili unazo za kuchambia ww..KKKT ilikua maarufu kabla ya uyo kimaro kuzaliwa
 
Mimi ni msharika wa Kijitonyama mstaafu. Nihama pale baada ya mambo kuwa mengi. Ila bahasha yangu bado ipo.

Kabla ya kuja Kimaro we had a peaceful church. Misingi ya kanisa ilizingatiwa.

Tulifanikiwa pia kujenga ghorofa tisa la kitegauchumi na nyumba ya jirani alitekua anasumbua sana.

The church was peaceful

Huyu bwana akaja na mambo yake. Binafsi sikupendezwa maana mambo mengi yalivurugwa. Hakuwa anazingatia tamaduni za kanisa.

Nikahama.

Malasusa ametokea katika familia ya mchungaji, anajua tamaduni za kanisa.

Kila kanisa lina tamaduni zake inazotambulisha. Kuziacha ni kuua kanisa. Tamaduni za kanisa lazima ziwe protected at any cost.

Kiongozi wangu, Dr. Malasusa, personally uliwahi kunikosea na nikakukasirikia ila nimekusamehe, katika hili la kutunza tamaduni za kanisa niko na wewe.

Ndimi.

Msharika mstaafu wa kijito.

Amen.

Kuhusu Sakata hilo, soma: Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Umeongea Jambo la msingi. Kila kanisa liheshimu misingi yake. Mimi nasali kanisa moja haliruhusu matumizi ya maji na mafuta. Sasa akaja muhubiri mmoja anatumia maji na akawa amepanga kumwagia watu maji, wazee walimzuia kabla hajaanza kumwagia watu maji. Sasa ukiruhusu Kila mtu afanye ya kwake kisa uhamsho hatutafika.
 
Back
Top Bottom