Kwenye sakata la Mchungaji Kimaro, nasimama na Kiongozi wangu Askofu Malasusa

Kwenye sakata la Mchungaji Kimaro, nasimama na Kiongozi wangu Askofu Malasusa

Dah! Kama Kanisa la Anglikana, kuna maeneo unaweza ukadhani ni Kanisa la Kilokole! Yaani ni full sebene. Wanaita sijui low church! Tofauti kabisa na Kanisa la Anglikana la Tanga.

Hakika misingi ya Kanisa lazima izingatiwe. Mambo ya kuligeuza Kanisa kama mali yako, unaendesha ibada zilizo kinyume na tamaduni za Kanisa; si sawa hata kidogo.
Kanisa Anglikana ishu mara nyingi huwa rasilimali chache, zikipatikana watu wanabunya Hadi aibu
 
YESU ALIHUBIRI UFALME WA MUNGU, NA SI TAMADUNI ZA KANISA FLANI
JE NI UTAMADUNI WA KANISA KUMSIMAMISHA UCHUNGAJI MTU BILA KUTOA TAARIFA YA SABABU NI NINI?
KWA SASA KIMARO NI MAARUFU KULIKO KANISA LENYEWE

Maarufu kuliko Nini? Hata piere Liquid aliwahi kuwa maarufu.
 
YESU ALIHUBIRI UFALME WA MUNGU, NA SI TAMADUNI ZA KANISA FLANI
JE NI UTAMADUNI WA KANISA KUMSIMAMISHA UCHUNGAJI MTU BILA KUTOA TAARIFA YA SABABU NI NINI?
KWA SASA KIMARO NI MAARUFU KULIKO KANISA LENYEWE

Utamaduni maana Taribu na kanuni. Kama kanisa halitumii mafuta na maji, huwezi kulazimisha watumie.
 
Wasabato wapo sawa sana kwa upande wa makanisa nayoyafahamu ya zamani ila haya mengine Mungu ndio anajua daah ujanja ujanja mwingi sana huyu Malasusa ndio alikua chanzo cha migogoro KKKT kastaafu ila bado anaendelea na ile ile miguu...watatoka Kijitonyama watatulia wataamia sehemu ingine tuombe uzima tu..
 
Mimi nashindwa kuelewa nini msingi wa Hoka ZOTE hizi. Mchungaji kimaro hajalalamika popote. Alilopewa barua ya likizo alitii maagizo ya mwajiri wake na alikabidhi ofisi kwa mtumishi mwingine na akawaaga waumini wake. Sasa kafanya kosa gani hapo? Waumini msimamo wao sio wa mchungaji Kimaro. Ila tufike pahala tuuseme UKWELI KKKT Kuna ukiritimba mwingi sana. Mimi ni m- KKKT Nina zaidi ya mwaka sijaenda katika makanisa Yao kwa ukiritimba. Pesa zinapigwa anayehoji anatishiwa na michango ndiyo imejaaa tele tena ya kupangiwa na inatakiwa ulipe upended usipende.
Mtoa mada una lolote kuhusu upende usipende na kupangiwa mchango?
 
Misingi ipi? Mfano Lutheran huku kaskazini hasa Arusha imejaaa ukabila full yaani kama wewe sio Mwarusha au Mmsai basi sahau hata kuwa mchungaji, asilimia 100 ya wachungaji ni wamasai na Waarusha, Shule za kanisa asilimia 100 ya wakuu wa shule ni the same, njoo sasa kwenye project za kanisa.

Binafisi mara 1000 nikasali kwa manabiii ila sio kwa hawa lutheran
Black ....
Acha kulisagia kunguni kkkt ya dayosi ya kazkasini Kati kwa kusema Ni makabila nenda Moshi dayosi ya kazkasin ndio ujue ukabila uko VIP achaaa kbsa mkuuu

Hkn mchungaji wa kabila lingine wote Ni wachaga tupu

Nenda mbeya utakuta wachungaji wote Ni wanyakyusa tupu Sasa unavyo Seema wanawekana wamasai na waarusha alfu unarnda sehem nyingine Hali Ni ile ile

Tatizo bwana black...hujatembee umezalia Hapo Arusha na Huna exposure kubwa

Kama VIP nenda kwa geordavie

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nashindwa kuelewa nini msingi wa Hoka ZOTE hizi. Mchungaji kimaro hajalalamika popote. Alilopewa barua ya likizo alitii maagizo ya mwajiri wake na alikabidhi ofisi kwa mtumishi mwingine na akawaaga waumini wake. Sasa kafanya kosa gani hapo? Waumini msimamo wao sio wa mchungaji Kimaro. Ila tufike pahala tuuseme UKWELI KKKT Kuna ukiritimba mwingi sana. Mimi ni m- KKKT Nina zaidi ya mwaka sijaenda katika makanisa Yao kwa ukiritimba. Pesa zinapigwa anayehoji anatishiwa na michango ndiyo imejaaa tele tena ya kupangiwa na inatakiwa ulipe upended usipende.
Kwani mkuu umelazimishwa kutoa michNgo Yao wew nenda kanisani bhna kamuabudu mungu ,watu na michango Yao achanao kwani hawalazimishi na Kama umebarikiwa wape mkuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Unajua maana ya utamaduni? Ngoja nikisaidie....ni totality of doing things ...ni namna hii ya kufanya mambo inayotofautisha msabato na mroma na mkkkt. Hata sisi kuna pastor alikuja na style yake ya kufanya mambo na kanisa likamkataa . Akafungua kanisa lake hapo sinza na waumini debe wakamfuata. Baada ya muda yakamshinda akarudi kundini. Why alitolewa kwakuwa alienda nje ya utaratibu. Mkitaka mfanye style yoyote nendeni kwa akina masanja wao ni free church
Exactly naka....

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nashindwa kuelewa nini msingi wa Hoka ZOTE hizi. Mchungaji kimaro hajalalamika popote. Alilopewa barua ya likizo alitii maagizo ya mwajiri wake na alikabidhi ofisi kwa mtumishi mwingine na akawaaga waumini wake. Sasa kafanya kosa gani hapo? Waumini msimamo wao sio wa mchungaji Kimaro. Ila tufike pahala tuuseme UKWELI KKKT Kuna ukiritimba mwingi sana. Mimi ni m- KKKT Nina zaidi ya mwaka sijaenda katika makanisa Yao kwa ukiritimba. Pesa zinapigwa anayehoji anatishiwa na michango ndiyo imejaaa tele tena ya kupangiwa na inatakiwa ulipe upended usipende.
wakati wa kuwaaga:alikua analia wakati akiwaombea kondoo wake, kilichokua kina mliza ni nini?
 
Back
Top Bottom