econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Hivi Mungu na manabii wake wana tamaduni?
Utaratibu. Huwezi kufanya mambo oya oya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Mungu na manabii wake wana tamaduni?
Nimeangalia sura za walioabdamana.
Siwafahamu.
Afadhali uliondoka hukuathiri lolote na Kanisa lilikua vizuri sana chini ya Dr. Kimaro.
Kanisa Anglikana ishu mara nyingi huwa rasilimali chache, zikipatikana watu wanabunya Hadi aibuDah! Kama Kanisa la Anglikana, kuna maeneo unaweza ukadhani ni Kanisa la Kilokole! Yaani ni full sebene. Wanaita sijui low church! Tofauti kabisa na Kanisa la Anglikana la Tanga.
Hakika misingi ya Kanisa lazima izingatiwe. Mambo ya kuligeuza Kanisa kama mali yako, unaendesha ibada zilizo kinyume na tamaduni za Kanisa; si sawa hata kidogo.
Hananja hana kanisa acha uwongo kijana
YESU ALIHUBIRI UFALME WA MUNGU, NA SI TAMADUNI ZA KANISA FLANI
JE NI UTAMADUNI WA KANISA KUMSIMAMISHA UCHUNGAJI MTU BILA KUTOA TAARIFA YA SABABU NI NINI?
KWA SASA KIMARO NI MAARUFU KULIKO KANISA LENYEWE
YESU ALIHUBIRI UFALME WA MUNGU, NA SI TAMADUNI ZA KANISA FLANI
JE NI UTAMADUNI WA KANISA KUMSIMAMISHA UCHUNGAJI MTU BILA KUTOA TAARIFA YA SABABU NI NINI?
KWA SASA KIMARO NI MAARUFU KULIKO KANISA LENYEWE
nadhani lengo ni ku keep some common understandings.ni sawa na kwetu tz rais kuteua wakuu wa mikoa wanajeshi katika mikoa ya mipakaniKwanini hachagui askofu asiye mchaga kuwa askofu wa jimbo la Moshi?
Mtoa mada una lolote kuhusu upende usipende na kupangiwa mchango?Mimi nashindwa kuelewa nini msingi wa Hoka ZOTE hizi. Mchungaji kimaro hajalalamika popote. Alilopewa barua ya likizo alitii maagizo ya mwajiri wake na alikabidhi ofisi kwa mtumishi mwingine na akawaaga waumini wake. Sasa kafanya kosa gani hapo? Waumini msimamo wao sio wa mchungaji Kimaro. Ila tufike pahala tuuseme UKWELI KKKT Kuna ukiritimba mwingi sana. Mimi ni m- KKKT Nina zaidi ya mwaka sijaenda katika makanisa Yao kwa ukiritimba. Pesa zinapigwa anayehoji anatishiwa na michango ndiyo imejaaa tele tena ya kupangiwa na inatakiwa ulipe upended usipende.
Black ....Misingi ipi? Mfano Lutheran huku kaskazini hasa Arusha imejaaa ukabila full yaani kama wewe sio Mwarusha au Mmsai basi sahau hata kuwa mchungaji, asilimia 100 ya wachungaji ni wamasai na Waarusha, Shule za kanisa asilimia 100 ya wakuu wa shule ni the same, njoo sasa kwenye project za kanisa.
Binafisi mara 1000 nikasali kwa manabiii ila sio kwa hawa lutheran
Hana usahih wowote nenda Moshi atakutana na wachaga ndio vingoz wa kanisaUpo sahihi
Kwani mkuu umelazimishwa kutoa michNgo Yao wew nenda kanisani bhna kamuabudu mungu ,watu na michango Yao achanao kwani hawalazimishi na Kama umebarikiwa wape mkuuMimi nashindwa kuelewa nini msingi wa Hoka ZOTE hizi. Mchungaji kimaro hajalalamika popote. Alilopewa barua ya likizo alitii maagizo ya mwajiri wake na alikabidhi ofisi kwa mtumishi mwingine na akawaaga waumini wake. Sasa kafanya kosa gani hapo? Waumini msimamo wao sio wa mchungaji Kimaro. Ila tufike pahala tuuseme UKWELI KKKT Kuna ukiritimba mwingi sana. Mimi ni m- KKKT Nina zaidi ya mwaka sijaenda katika makanisa Yao kwa ukiritimba. Pesa zinapigwa anayehoji anatishiwa na michango ndiyo imejaaa tele tena ya kupangiwa na inatakiwa ulipe upended usipende.
Exactly naka....Unajua maana ya utamaduni? Ngoja nikisaidie....ni totality of doing things ...ni namna hii ya kufanya mambo inayotofautisha msabato na mroma na mkkkt. Hata sisi kuna pastor alikuja na style yake ya kufanya mambo na kanisa likamkataa . Akafungua kanisa lake hapo sinza na waumini debe wakamfuata. Baada ya muda yakamshinda akarudi kundini. Why alitolewa kwakuwa alienda nje ya utaratibu. Mkitaka mfanye style yoyote nendeni kwa akina masanja wao ni free church
Mwenzio ameokoa mateja kadhaa. Wewe Sasa!!!Yule Hana kanisa. Tatizo Hawa wachungaji wa mitandaoni Hananja and the likes Wana shida Sana.
hilo kanisa la hananja linaitwaje?Hizi dini zenye zilikuja kututawala. Aanzishe kanisa lake kama hananja.
wakati wa kuwaaga:alikua analia wakati akiwaombea kondoo wake, kilichokua kina mliza ni nini?Mimi nashindwa kuelewa nini msingi wa Hoka ZOTE hizi. Mchungaji kimaro hajalalamika popote. Alilopewa barua ya likizo alitii maagizo ya mwajiri wake na alikabidhi ofisi kwa mtumishi mwingine na akawaaga waumini wake. Sasa kafanya kosa gani hapo? Waumini msimamo wao sio wa mchungaji Kimaro. Ila tufike pahala tuuseme UKWELI KKKT Kuna ukiritimba mwingi sana. Mimi ni m- KKKT Nina zaidi ya mwaka sijaenda katika makanisa Yao kwa ukiritimba. Pesa zinapigwa anayehoji anatishiwa na michango ndiyo imejaaa tele tena ya kupangiwa na inatakiwa ulipe upended usipende.
wakati wa kuwaaga:alikua analia wakati akiwaombea kondoo wake, kilichokua kina mliza ni nini?