Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Point hiiKKKT ni Kanisa la Kiinjili, wale wahuni walioandamana hawajui tamaduni ya hili kanisa, kama Kimaro ana uinjilisti mkubwa na wenye wito, basi uinjilisti wake hautakiwi kuishia Kijitinyama, lazima uende mahali pengine, yeye sio wa kwanza kuhamishwa na wala hatakuwa wa mwisho, KKKT litakuwepo na litaendelea kuwepo bila hata Kimaro.
YESU ALIHUBIRI UFALME WA MUNGU, NA SI TAMADUNI ZA KANISA FLANIMimi ni msharika wa Kijitonyama mstaafu. Nihama pale baada ya mambo kuwa mengi. Ila bahasha yangu bado ipo.
Kabla ya kuja Kimaro we had a peaceful church. Misingi ya kanisa ilizingatiwa.
Tulifanikiwa pia kujenga ghorofa tisa la kitegauchumi na nyumba ya jirani alitekua anasumbua sana.
The church was peaceful
Huyu bwana akaja na mambo yake. Binafsi sikupendezwa maana mambo mengi yalivurugwa. Hakuwa anazingatia tamaduni za kanisa.
Nikahama.
Malasusa ametokea katika familia ya mchungaji, anajua tamaduni za kanisa.
Kila kanisa lina tamaduni zake inazotambulisha. Kuziacha ni kuua kanisa. Tamaduni za kanisa lazima ziwe protected at any cost.
Kiongozi wangu, Dr. Malasusa, personally uliwahi kunikosea na nikakukasirikia ila nimekusamehe, katika hili la kutunza tamaduni za kanisa niko na wewe.
Ndimi.
Msharika mstaafu wa kijito.
Amen.
Kuhusu Sakata hilo, soma: Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Misingi ipi? Mfano Lutheran huku kaskazini hasa Arusha imejaaa ukabila full yaani kama wewe sio Mwarusha au Mmsai basi sahau hata kuwa mchungaji, asilimia 100 ya wachungaji ni wamasai na Waarusha, Shule za kanisa asilimia 100 ya wakuu wa shule ni the same, njoo sasa kwenye project za kanisa.Mimi ni msharika wa Kijitonyama mstaafu. Nihama pale baada ya mambo kuwa mengi. Ila bahasha yangu bado ipo.
Kabla ya kuja Kimaro we had a peaceful church. Misingi ya kanisa ilizingatiwa.
Tulifanikiwa pia kujenga ghorofa tisa la kitegauchumi na nyumba ya jirani alitekua anasumbua sana.
The church was peaceful
Huyu bwana akaja na mambo yake. Binafsi sikupendezwa maana mambo mengi yalivurugwa. Hakuwa anazingatia tamaduni za kanisa.
Nikahama.
Malasusa ametokea katika familia ya mchungaji, anajua tamaduni za kanisa.
Kila kanisa lina tamaduni zake inazotambulisha. Kuziacha ni kuua kanisa. Tamaduni za kanisa lazima ziwe protected at any cost.
Kiongozi wangu, Dr. Malasusa, personally uliwahi kunikosea na nikakukasirikia ila nimekusamehe, katika hili la kutunza tamaduni za kanisa niko na wewe.
Ndimi.
Msharika mstaafu wa kijito.
Amen.
Kuhusu Sakata hilo, soma: Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Upo sahihiKKKT ni Kanisa la Kiinjili, wale wahuni walioandamana hawajui tamaduni ya hili kanisa, kama Kimaro ana uinjilisti mkubwa na wenye wito, basi uinjilisti wake hautakiwi kuishia Kijitinyama, lazima uende mahali pengine, yeye sio wa kwanza kuhamishwa na wala hatakuwa wa mwisho, KKKT litakuwepo na litaendelea kuwepo bila hata Kimaro.
Hizi dini zenye zilikuja kututawala. Aanzishe kanisa lake kama hananja.Mimi ni msharika wa Kijitonyama mstaafu. Nihama pale baada ya mambo kuwa mengi. Ila bahasha yangu bado ipo.
Kabla ya kuja Kimaro we had a peaceful church. Misingi ya kanisa ilizingatiwa.
Tulifanikiwa pia kujenga ghorofa tisa la kitegauchumi na nyumba ya jirani alitekua anasumbua sana.
The church was peaceful
Huyu bwana akaja na mambo yake. Binafsi sikupendezwa maana mambo mengi yalivurugwa. Hakuwa anazingatia tamaduni za kanisa.
Nikahama.
Malasusa ametokea katika familia ya mchungaji, anajua tamaduni za kanisa.
Kila kanisa lina tamaduni zake inazotambulisha. Kuziacha ni kuua kanisa. Tamaduni za kanisa lazima ziwe protected at any cost.
Kiongozi wangu, Dr. Malasusa, personally uliwahi kunikosea na nikakukasirikia ila nimekusamehe, katika hili la kutunza tamaduni za kanisa niko na wewe.
Ndimi.
Msharika mstaafu wa kijito.
Amen.
Kuhusu Sakata hilo, soma: Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Mimi nashindwa kuelewa nini msingi wa Hoka ZOTE hizi. Mchungaji kimaro hajalalamika popote. Alilopewa barua ya likizo alitii maagizo ya mwajiri wake na alikabidhi ofisi kwa mtumishi mwingine na akawaaga waumini wake. Sasa kafanya kosa gani hapo? Waumini msimamo wao sio wa mchungaji Kimaro. Ila tufike pahala tuuseme UKWELI KKKT Kuna ukiritimba mwingi sana. Mimi ni m- KKKT Nina zaidi ya mwaka sijaenda katika makanisa Yao kwa ukiritimba. Pesa zinapigwa anayehoji anatishiwa na michango ndiyo imejaaa tele tena ya kupangiwa na inatakiwa ulipe upended usipende.Hili suala Lina jazwa speculations zisizo na lazima. Ni nani ana ushahidi wa Nini haswa kilifanya Mchungaji kupewa likizo ya lazima?
Tukumbuke yeye ni Muajiriwa na Muajiri ana Haki ya kuchukua hatua mbalimbali kwa Muajiriwa wake kwa sababu mbalimbali. Huyo hiyo Muajiri aliyemleta Kimaro kijitonyama, kaona kuna haja ya kuchukua hatua alizoona Iko haja ya kuchukua. Kimaro hakuletwa Kijitonyama na Washarika. Na zaidi hajafikuzwa kazi.
Kama Kuna figisu basi wa kutueleza ukweli ni Mchungaji ama Muajiri wake.
Kanisa lipo na litaendelea kuwepo maana msingi wake ni Kristo mwenyewe. Dkt Kimaro kafanya kazi nzuri sana Kijitonya kwa kadir ya alivyojaliwa, tuchukulie tu ndio wakati wake umeisha na anatakiwa akatoe mchango kwingine.
Hata yeye amehamisha watumishi wengi pia hapo Kijitonya. Iweje yeye akihamishwa iwe nongwa.
Kama Kuna ushahidi wa kuonewa na uwekwe ujadiliwe. Kinyume na hapo ni uzushi.
Kwanini hachagui askofu asiye mchaga kuwa askofu wa jimbo la Moshi?Mambo ya uhamisho huji kusikia yameleta mtafaruku Roman catholic. Uhamisho wa Askofu anatoa Papa moja kwa moja.
Mkuu umejidanganya sana, Kimaro awe maarufu kuliko kanisa? Kimaro ni maarufu sababu yupo ndani ya Kanisa, kama anaamini yeye ni maarufu kuliko kanisa, mwambie asiende hiyo likizo aliyopewa aone umaarufu wake utamfikisha wapi?YESU ALIHUBIRI UFALME WA MUNGU, NA SI TAMADUNI ZA KANISA FLANI
JE NI UTAMADUNI WA KANISA KUMSIMAMISHA UCHUNGAJI MTU BILA KUTOA TAARIFA YA SABABU NI NINI?
KWA SASA KIMARO NI MAARUFU KULIKO KANISA LENYEWE
Kanisa lenu la magomeni pale mataaWalutheri tuna bahasha ya Ahadi na Jengo- naahidi mwenyewe kiasi cha kumtolea Mungu kwa mwaka mzima ninachoona nitaweza.
YESU ALIHUBIRI UFALME WA MUNGU, NA SI TAMADUNI ZA KANISA FLANI
JE NI UTAMADUNI WA KANISA KUMSIMAMISHA UCHUNGAJI MTU BILA KUTOA TAARIFA YA SABABU NI NINI?
KWA SASA KIMARO NI MAARUFU KULIKO KANISA LENYEWE
Kila mahali tunabahasha na nambaUtamaduni wa bahasha sijui ni wa wapi
Hananja hana kanisa acha uwongo kijanaHizi dini zenye zilikuja kututawala. Aanzishe kanisa lake kama hananja.
Akili unazo za kuchambia ww..KKKT ilikua maarufu kabla ya uyo kimaro kuzaliwaYESU ALIHUBIRI UFALME WA MUNGU, NA SI TAMADUNI ZA KANISA FLANI
JE NI UTAMADUNI WA KANISA KUMSIMAMISHA UCHUNGAJI MTU BILA KUTOA TAARIFA YA SABABU NI NINI?
KWA SASA KIMARO NI MAARUFU KULIKO KANISA LENYEWE
Mimi ni msharika wa Kijitonyama mstaafu. Nihama pale baada ya mambo kuwa mengi. Ila bahasha yangu bado ipo.
Kabla ya kuja Kimaro we had a peaceful church. Misingi ya kanisa ilizingatiwa.
Tulifanikiwa pia kujenga ghorofa tisa la kitegauchumi na nyumba ya jirani alitekua anasumbua sana.
The church was peaceful
Huyu bwana akaja na mambo yake. Binafsi sikupendezwa maana mambo mengi yalivurugwa. Hakuwa anazingatia tamaduni za kanisa.
Nikahama.
Malasusa ametokea katika familia ya mchungaji, anajua tamaduni za kanisa.
Kila kanisa lina tamaduni zake inazotambulisha. Kuziacha ni kuua kanisa. Tamaduni za kanisa lazima ziwe protected at any cost.
Kiongozi wangu, Dr. Malasusa, personally uliwahi kunikosea na nikakukasirikia ila nimekusamehe, katika hili la kutunza tamaduni za kanisa niko na wewe.
Ndimi.
Msharika mstaafu wa kijito.
Amen.
Kuhusu Sakata hilo, soma: Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu