Ngoja nikupe anuani piemuNiambie ni wapi nianze kufunga safari mkuu...hakuna namna aise[emoji6][emoji6][emoji6][emoji41][emoji41][emoji41]
Pole hiyo inatokea sana hata mim sipendelei kwa sana samaki ya kibambalaAsante mkuu..sasa unaweza amini sipendi supu ya samaki!!ππni maajabu kwa kweli
Inaelekea hupendi usumbufu wa kuchambua miiba sio!!ugali moto,mboga moto na pilipili juu shiiiiiπππ...njaa ishaanza kuniumaπ€ͺπ€ͺNapendelea mnofu hasa wa Sangara ulio kaangwa,ukila kwa ugali na mboga ya majani kama mchicha au mboga ya maboga...
Sijajua ni nini sababu lakini nikipewa kuchagua nitaangukia kwa samaki wa fresh/kukaanga ulimi wangu unaitafsir ladha ya kibambala si tamu Zaidi ya samaki fresh.Kwanini hupendelei??
Ulimi wako kiboko ais lo!!Sijajua ni nini sababu lakini nikipewa kuchagua nitaangukia kwa samaki wa fresh/kukaanga ulimi wangu unaitafsir ladha ya kibambala si tamu Zaidi ya samaki fresh.
Sangara,satoOhoooo ...oky..samaki yupi unampendelea..red snaper,king,sangara,au yoyote yule..
Hapana sio miba ni ile miguu ya samaki si unaijua ina mifupa fulani na ngozi mkuuπππ³π³mkuu si ni miiba hiyo sasa..loh!!
Njoo kwetu unywe naipika kila siku.Ikiwa na pilipili pamoja na limao..ya moootooooo[emoji39][emoji39][emoji39]