Kwenye samaki unapenda kula nini?

Kwenye samaki unapenda kula nini?

Kwa upande wangu napenda kula kichwa aise[emoji2296][emoji2296][emoji2296] Ninaweza nisile ugali aloo[emoji2957][emoji2957]..ninakisosomola ni kinouma[emoji2222][emoji2222][emoji1732][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344]

Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasa[emoji28][emoji28]namaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza Yona[emoji28][emoji28] [emoji117][emoji225][emoji226][emoji225][emoji226][emoji225][emoji226]

Akili za kuumwa na njaa hizi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto[emoji1787][emoji1787]

Imeisha hiyoooo...[emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji1635][emoji1635]
Tako
 
Ila Kambare aliwi kichwa na yale masharubu unakuwa kama unadedeka hivi...karibuni mtera......
 
Back
Top Bottom