Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matumbo [emoji15]Matumbo na kichwa
Na ka'aroma flani hiviNapenda Sangara,
Upande wa kichwa hasa jicho napenda sana, kuna ute ute flani hivi una ladha amaziiiiiing.
[emoji39]
@ ChakoriiHuu mwandiko wako umekaa kinyonge mno T 1990 ELY kwanini
Usiniambie Leo umekula kichwa[emoji39][emoji23][emoji23][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]huu mwandiko wako umenifanya leo nile kichwa hapa si kwa utamu ule..loh!tunafanana hapo aise
TakoKwa upande wangu napenda kula kichwa aise[emoji2296][emoji2296][emoji2296] Ninaweza nisile ugali aloo[emoji2957][emoji2957]..ninakisosomola ni kinouma[emoji2222][emoji2222][emoji1732][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344]
Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasa[emoji28][emoji28]namaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza Yona[emoji28][emoji28] [emoji117][emoji225][emoji226][emoji225][emoji226][emoji225][emoji226]
Akili za kuumwa na njaa hizi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto[emoji1787][emoji1787]
Imeisha hiyoooo...[emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji1635][emoji1635]
Kambale na kibua[emoji777]Kambale hajawahi kunibariki kabisa
T 1990 ELY@ Chakorii
Kambale jinsi alivyo na kibua kwangu hajawahi kuwa na ladha hata nimtumbukize kwenye ndimuKwanini mkuu
Fresh tu mkuu vipi kheri ya sikukuuPoa niaje