Kwenye suala la mapenzi, mabinti wa kitanga ni undisputed

Wadigo oyeeeee
 
Fafanua hapa



Ni mfano inapotokea Mwanaume kufanya makosa ya obvious na pengine akakiri au kuwa na ushahidi wa wazi , badala ya kumdhalilisha mbele za watu na kumtangaza unazungumza nae na kumuonya ili ajirekebishe aache tabia mbaya.

Kwa kumfichia aibu yake hapo unakuwa umemsitiri.

Mwanaume mwingine akilewa anajikojolea saingine hata kitandani, mwanamke anatakiwa amfichie hiyo aibu Mpenzi au mume wake bila kumwambia mtu mwingine.

Wanaume wengine hawawezi kutia mshindo anashindwa kabisa, mwanamke anatakiwa kuzungumza na Mwanaume wake jinsi ya kumsaidia awe sawa au akubaliane na hali hiyo afanye maarifa yake nje kwa heshima na adabu hapo Pia atakuwa amemsitiri Mwanaume wake.

Je umeelewa?
 
Loud and clear
 
Ili Sina uhakika nalo, ngoja waje kutoa ufafanuzi πŸ˜…
 
Hawafui dafu kwa wanawake wa kitanga hao!

Swala sio mauno feni peke yake lakini maswala kama vile upishi wa chakula kizuri, nyama ya ulimi, adabu na heshima kwa Mwanaume hayo utayapata kwa watanga tu hao wengine hawana [emoji108][emoji108]
Kumbe shoga angu we mdigoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ndo mana ukapovuka ule Uzi wa kusifia wamakondeπŸ˜‚
Haya huko Tanga mmesoma Hadi wapi?🀣🀣🀣
 
Nahisi huko kwa makungwi wao, wanafundishwaga mambo mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…