Mamuu ni nickname ya Mariamu kma sijakoseaUkweli kabisa usiopingika, Wakwangu alikua anaitwa Mamuu. Tumepotezana muda mrefu naomba nichkue nafasi hapahapa kumtafuta. wacha nimwambie neno "Mamuu nimeuona huu uzi nikauchukulia fursa hapa hapa. Ninakuwaza kila siku Mamungi ukiuona huu huzi ujibu kwa hapa chini nijue ni ww. wako mpenzi tuliepotezana.
Kama yupo humu hakika atauona huu Uzi, na atasoma comment yako π π πUkweli kabisa usiopingika, Wakwangu alikua anaitwa Mamuu. Tumepotezana muda mrefu naomba nichkue nafasi hapahapa kumtafuta. wacha nimwambie neno "Mamuu nimeuona huu uzi nikauchukulia fursa hapa hapa. Ninakuwaza kila siku Mamungi ukiuona huu huzi ujibu kwa hapa chini nijue ni ww. wako mpenzi tuliepotezana.
Hata wazenji nao sio habaa mzeeπ π π π Acha tu mkuu
Usharogwa mkuu....Mimi ni mgumu, lakini ilifikia kipindi hadi nikaanza kujishangaa. Maana nikikutana nae nakuwa kama vile last born wake.
Fahamu zimepotea!!π π π π Kwann nirogwe?
Haha hapana mkuuNawe ni mtanga mrembo?
Loool! Mweee! wajameni mie kwakweli km ni hivi hapana!!! mambo ya kukandwa kandwa kwenye Mabeseni km kiwete sijui mgonjwa!!!! sitaki na kwakweli mtanisamehe nyie watu wa Tanga!Hata nikijiminya minya mguu kuwa unauma, akitoka nje, anarudi na beseni, naanza kukandwa miguu. Na umri huu nilionao, kuna baadhi ya siku nilikuwa naogeshwa.
Kumbe shoga angu we mdigo[emoji23][emoji23][emoji23] Ndo mana ukapovuka ule Uzi wa kusifia wamakonde[emoji23]
Haya huko Tanga mmesoma Hadi wapi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alafu wapole balaa sema vihadura hasira vya chini chini
Kumbe nilikuwa sijui kwaiyo sisi ni majambazi flan hivi πNi wakimya na sio wapole!
Kuna tofauti ya upole na kuwa mkimya.
Majambazi wengi huwa ni wakimyaaaa!
Hata wachawi Na magaidi huwa ni wakimya mno.
Lakini mioyo yao imejaa hila na ubaya!
Wahehe wanapiga kazi sana, pia wakarimu. Alaf ni wavumilivu