🤣🤣🤣🤣KhaaaaKumbe shoga angu we mdigo😂😂😂 Ndo mana ukapovuka ule Uzi wa kusifia wamakonde😂
Haya huko Tanga mmesoma Hadi wapi?🤣🤣🤣
HapanaWewe ni mwanamke?
Kutafuta kituKufanya nn? 😅😅
nipo kwa kuibia ibia majukum tena s unajuaNdg yangu umefichwa wapi sio kwa kupotea kiasi hiki?
Wazenji wana balaaWazenji Sina uzoefu nao
Jibu unalo sasa auntie [emoji1787][emoji1787] tukiachwa kama hatujaachwa na tukiacha kama hatujaacha wanapaita tanga sisi tunapaita nyumbani [emoji1787][emoji1787]Unaona sasa Auntie!!!
Ndiyoooo....
Kila siku huwa nakuuliza Auntie....
Ujege uniambie basi jamani....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jibu unalo sasa auntie [emoji1787][emoji1787] tukiachwa kama hatujaachwa na tukiacha kama hatujaacha wanapaita tanga sisi tunapaita nyumbani [emoji1787][emoji1787]
Wa bara lazima uchanganyikiwe, mahaba ya kitanga sio ya kawaida😅😅Jamaaa etu UMUGHAKA alisema alifeli form four kiss bint wa kitangaa
Ilaa all in all wako vzr on bed
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tanga ni Kwa wote. Hata wageni wakiingia Kwa mara ya kwanza, lazima waweke kambi. Ntakuja kununua kiwanja huko, nikaribisheni 😅😅Jibu unalo sasa auntie [emoji1787][emoji1787] tukiachwa kama hatujaachwa na tukiacha kama hatujaacha wanapaita tanga sisi tunapaita nyumbani [emoji1787][emoji1787]
Kumbe ulikuwa unanichezea,kwahiyo hii mimba itakuwaje😭Wadigo, Wasambaa na wazigua ndio wanabalaa sana. Sijawahi kuwa na mbondei. Huyu wasasa, sijui hata nisemeje 😊😊😊😊