Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
hahaa ngoja nitamtafta mwari wangu nimpe darsa๐ ๐ ๐ Nimeandaa chai, alaf yeye naiita maji ya makuti???
Anza darasa na huyo mmoja aliyejitokeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaa ngoja nitamtafta mwari wangu nimpe darsa๐ ๐ ๐ Nimeandaa chai, alaf yeye naiita maji ya makuti???
Anza darasa na huyo mmoja aliyejitokeza
mimi?? mimi ni jini mkata kambaMadam s wewe ni wa wapi mbona kama ni wa tanga hivi
Soma vizuri nilicho andika mastarSina uhakika kuhusu limbwata, na sijawahi fanyiwa limbwata. Ukishazoea mapenzi ya kibabe, ukikutana na mahaba ya kitanga, utahisi wanataka kukuibia, kumbe ndivyo walivyo.
naona maswali yamekua mengi kama tupo kituoniUnamtisha?๐ ๐ ๐
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwamba kwa kusifia tu uko vizuri,unasifia Hadi mtu unahisi unaangalia video. Unasifia Kama yule jamaa wa Jambo na vijambo. [emoji119]
Ila watanga hapana,kitendo Cha kwenda bafuni kisosi Cha chai na kigoda ili ukioga ukae na makende yasiguse chini ila yamwagikie kwenye kisosi,nimewavulia kofia.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee nusu nianze kulia umenikumbusha mbali chief, tena yule mtoto alikuwa anajua kupika sijui nilikosea wapi, yan me nlikuwa sipendag kabich, dagaa, spinach na vitu kama izo ila yule demu ndio alinifanya nijue kumbe kabich ni tamu kama nyama tu aisee.. Nimekuja kuangukia kwa mtu anajua kupiga ugali maharage na maparachichi ya tukuyu aiseee... [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sio kweliMimi nilipata dem wa kikuria akawa ananinolea panga, nikifika ananiambia babe nimekuandalia panga kwaajili ya kunipiga, nikikataa kumpiga analia anasema simpendi sina wivu na yeye
Nawe ni mtanga mrembo?
hahaha labda haoniHawajui kusoma, waangalie hata picha basi ๐ ๐
Ndg yangu umefichwa wapi sio kwa kupotea kiasi hiki?hahaha labda haoni