Kwenye suala la misitu Tanzania ndiyo tulitakiwa tuwasaidie UAE, sio wao watusaidie sisi

Kama naona kwa mbaaali Bendera ikipepea nusu mlingoti tena!
 
Ndugai tusamehe tuliokushambulia. Uliona mbali.
MIMI UVCCM
 
Hakuna la maana zaidi miti yetu na misitu yetu kuvunwa na waarabu.

Maana yake hii itakua their second mainland nakuhakikishia.
Nilipoona TFS wanasemwa juzi, nikajua tayari kimenuka. Kweli katika taasisi zote TFS ndio wabaya?
 
Wewe hakuna asiyejuaa kuwa huna ubongo
 
Ujamaa una husiana nini na mambo ya Carbon!!!
 
Mama...Mama sio shida.
Watunga sheria ndio shida, wanajiangalia wao.
Sheria ili ikamilike lazima raisi anasaini. Pia Kama uoikua hujui kabla ya muswa wa sheria kwenda bungeni huanzia kwanza kwenye baraza ambalo raisi ni mwenyekiti
 
Kama naona kwa mbaaali Bendera ikipepea nusu mlingoti tena!
Haya ni mambo nisiyoyapenda, sikubaliani na mambo mengi ya serikali lakini hiki unachosema hapana, sio uungwana
 
Kulikoni waarabu awamu hii, kuna nini majameni tuamke tunauzwa hivyo!
 
Hii ndiyo ile Dr. Slaa alisema ipo mikataba mingine ilisainiwa kipindi hicho sambamba na wa bandari. Maza anaupiga mwingi kweli
 
Mungu atawaondoa kwenye kiti wote wanaopanga kuiangamiza Tanganyika

Tanganyika haitauzwa kwa waarabu
 
Taratibu, wameanza na Ngorongoro, loliondo. Ile mikataba 17 Rais aliyoisani akiwa kwenye UAE ilihusu nini?
 
Sheria ili ikamilike lazima raisi anasaini. Pia Kama uoikua hujui kabla ya muswa wa sheria kwenda bungeni huanzia kwanza kwenye baraza ambalo raisi ni mwenyekiti
Unaonaje Bunge likikataa...
Mfano: Bunge lingekuwa na uwakilishi wa 50/50 na upande wa pili, wakaikatalia Serikali.
 
Hivi huu ni wa ngapi kati ya ile 37?
 
Hii ndiyo ile Dr. Slaa alisema ipo mikataba mingine ilisainiwa kipindi hicho sambamba na wa bandari. Maza anaupiga mwingi kweli
ujinga kipaji
Waarabu wanakuja sana siku hizi kusaini mikataba ya kununua hewa ya carbon
Kenya mwenyewe kawauzia Saudi juzi. Nyie endeleeni na ushamba wenu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…