Zanzibar-Nyamwezi
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,244
- 766
Wazenji wasema mkome. Leo kiongozi muhimu Zanzibar aongea.
Dakika ya 9.15 hadi 12
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo Miche inauzwa wapi?Pesa za kununua Miche upande unayo!?
Inashuka toka mbinguniHiyo Miche inauzwa wapi?
Sio unainya weweInashuka toka mbinguni
Kwa hiyo Kenya nao wamewapa mositu yao kama sisi waisimamie ?ujinga kipaji
Waarabu wanakuja sana siku hizi kusaini mikataba ya kununua hewa ya carbon
Kenya mwenyewe kawauzia Saudi juzi. Nyie endeleeni na ushamba wenu tu
View attachment 2663296
Kenya wameuza product ya misitu sio kuwakabidhi misitu yaoshida ni ushamba wako. Duniani saivi kuna biashara kubwa sana ya hewa ya ukaa. Juzi tu Kenya kawauzia Saudi ArabiaView attachment 2663369
Wachukue Vyote watuachie Kanisa tu
Wapi imesemwa tumewakabidhi misitu?Kenya wameuza product ya misitu sio kuwakabidhi misitu yao
Hivi faida tunayoipata kwenye misitu inashindwa kuendesha misitu yetu wenyewe
Tungeingia nao mkataba wa kuwauzia mazao ya misitu sio kuwaingiza ndani ya misitu ambao ndo jikoni
Mikataba yote ya nje inabidi ipitiwe upya ina ukakasi sana
Au mpemba kwenda kumfundisha msukuma kufuga ng'ombe[emoji2][emoji2][emoji1787] Ama kweli sisi ni kichwa cha mwendawazimu! Hii ni sawa na Mmasai kwenda kumfundisha Muha wa Kigoma kuvua dagaa!
Unahitaji ukweli gani?Kama ni kweli…mbombo ngafu
Kama serikali imeshindwa kununua miche ya miti ichukue mkopo WB kama ule mkopo wa kujenga vyoo vya shule.Pesa za kununua Miche upande unayo!?
Huku Mufindi vitalu vya miche vingi sana na kuna chuo kabisa kinafundisha mambo ya misitu tu. Bado kuna SUA, kwa hiyo elimu yetu inatusaidia nini?Miaka ya 90 nilikua kwenye elimu yangu ya msingi na sekondari,palikua na program nyingi za kupanda miti,Miche ilikua ikilipiwa aidha na world vision au NGO za Sweden,serikali haikua na pesa,Sasa je Leo pesa ya Miche tunayo!?
Wewe automatically ni papaiSidhani kama tunaweza chagua wendawazimu wengine
Ndo maana juzi alisema shirika wanaohusiana na misitu wamefeli,kumbe nia yake analeta warabu wa Dubei.Huyu mzanzibari sio wa kumchekea
Cha kufanya tuwaondolee kinga hawa viongozi, hata tusipowafunga sisi, wajukuu zetu watawafungaKwamba Congo DRC au Somalia nfiyo wanaotakiwa kuwapatia Canada silaha na mafunzo ya Kivita?