Kwenye tukio la kigogo wa Equatorial Guinea nimeamini hiki kizazi sio cha kufunga ndoa

Status
Not open for further replies.
Me kuna muda nafikiria kuhusu haya mambo, nabaki tu kuuliza hivi Mungu anatutazamaje na sijui kama tukifika huko mbele zake itakuwaje, hatukatai wote ni watenda dhambi ila kuna muda tumuogope Mungu na kutetemeka.
 
Daaah kwakweli baby wangu huyu amekuja kipindi kibaya, akitoboa anatakiwa akatoe zaka nono kwa Mungu wake.
Maana kila nikiweka mipango mizuri juu yake kichwani nakutana na kasheshe mpya kila kukicha
 
Basi kazi zilikuwa kibwena sana ama ulikuwa ukifanya part time job.

Ajira kabisa watu wanavyozisotea hadi rushwa, eti wewe uje uache kazi kisa kupendwa na malaya!

Penye uongo ukweli hujidhihirisha.
 
Unaweza kuhisi labda jamaa alikuwa anatumia nguvu za giza katika ushawishi wake
 

Wanawake hawaogopi tena kuikosa ndoa hata aharibike vipi, wanajua hata wawe malaya, wanachopaswa kuhakikisha ni wawe wazuri baasi, wanajua as long as ni wazuri wataolewa tu bila kujali historia yao.
Sasa Kama hadi hawa wanachumbiwa unadhani nini kitazuia watu kuoa? Ndoa zitaendelea kufungwa tu.
 
Kumbe wanaambiana Hawa viumbe ukimgegeda mmoja vizuri...aisee inaelekea jamaa umipiga show hatari eeh
 
This makes sense coz wanawake wengi wanaolewa wakiwa sio bikra, na kama sio bikra basi kafanya umalaya. Kama kafanya umalaya basi yy ni malaya.

Hence it's mathematically correct kusema OA Malaya au baki single.
Haiwezekani kutengeneza chemistry na mwanamke mwenye flashback ya kufanya sex na wanaume wengi kabla yako.

Kila siku tunasisitiza hapa oa bikira watu wanatupinga.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…