Kuna muda ukweli usemwe. Ndoa sio tena swala valid kwa miaka hii. Kama issue ya malezi ya watoto ni bora kutafuta njia nyingine ila sio ndoa.
Hebu fikiria wake za watu wanaliwa ofisini, beach, nk... wakiwa na furaha kabisa huku wakikubali kurekodiwa na kutoa ushirikiano wa hali ya juu kabisa.
Na sio wake wa masikini bali wengine ni wake wa vibopa hadi mageneral wa jeshi. Na ni wake wa ndoa.
Na kwa clips zote nilizoona jamaa wala hatumii condom na anapizi ndani. Hahahahaa kuna watoto wa majamaa wengi sana kwenye ndoa za watu. Na sijui hiko hakunaga Ukimwi
Kuna watu wanasema jamaa alitaka kuzitumia video kufanya blackmailing, mimi nakataa, ile ni hulka yao tu kulana na kurekodiana na ndo maana warekodiwa walikua wanafurahi sana.
Ndoa ni old solution, najua kuna watu mtakuja na matusi lkn ukweli upo wazi, na kibaya ni kwamba ukweli ukiukataa basi utakuumbua siku moja.
Jitahidi sana mahusiano yako yawe short term na usiwe invested sana, tafuta kitu kingine cha kukupa furaha. Hebu fikiria ww ndo yule general alogongewa mke wake ofisini na jamaa.